Habari wakuu.. ninaomba msaada kuhusu hizi Batholist Cyste
Nilifanyiwa operation mwezi wa 11 mwaka jana baada ya kuwa na vipele vigumu kwenye ukuta wa uke na vilinitokea kwenye shavu moja la uke.. na hata shepu ya uke ilibadilika coz lile shavu lenye viuvimbe lilikuwa lefu kuliko jingine...
Mm n mwanamke. Na kila niogapo n lzm nijisafishe kuhakikish K' ipo ktk hali ya usafi . Na km kuna tofaut lzm nitafutie ufumbuz cz hapo mwanzo haikuwa hv. hayo ya kujigegeda mm siyajui
Habari wana Jf.. nina tatizo la kuwa na vipele vigumu kwenye kuta za mashavu ukeni. Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu. Nimekuwa nikitumia dawa bila mafanikio.. mwanzon vilikuwa pande zote mbili lakini kwa sasa vipo upande mmoja .
Haviumi na havitoi harufu. Napata normal...
Habari wakuu .. nimepata tetesi kuwa Azania bank wameanza kuita watu kwa ajili ya interview na itafanyika chuo cha IFM .. mwenye updates kamili atujuze maana hata mimi nimeapply lakini sijapigiwa simu.
Hello Dada farkhina .. n Mara yNgu ya kwanza kukoment humu but huwa naingia na kuchukua maujuzi ya kupika kimnyakimnya .. sorry for that .. but now ntakuwa active I hope .. nataka kujua tofauti ya aina hizi za pilipili
Pilipili mbogA
Pilipili hoho
Pilipili manga
Pilipili ya kuwasha .. na je...
CALL FOR INTERVIEW
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION
TPDC Managing Director is pleased to invite the following shortlisted candidates who
applied for various posts in respect to the advertisement on career opportunities made in
the newspapers and in the Corporations website, to appear...
vipo vinapatikana .. kwa mfano mm niliambiwa nichangie elfu 12000 za kibongo kama mchango wa mazingira.. ucpotoa hupewi, na wanakuuliza una sh, ngp kama huna hiyo elfu 12 , naona ishakluwa buziness
sasa n hv dactari.. naomba unielekeze vzr, alinielekeza mm n rafiki tu, sio docta, mm huwa nakaa 21 days mpk ntakapokuja kuona mp nyingine na nnabreed for 5days , so 21+5 days ni 26, ts means niko na mzunguko wa siku hizo.. naomba unieleweshe kuanzia hapo.. samahani lkn mgonjwa mm nina kichwa...
dah.. mbana nazidi kuchanganyikiwa.. kuna mtu kanielekeza ati nahesabu siku 10 toka ntakapoanza kubrid mpk ntakapomaliza na hizo ndo safe, so kama nko mp kuanzia trh 1-5, then from trh 6-10 ndo safe dayz, then 11-17 siyo safe, then kuendele mpk ntakapopata period n safe.. au nlielewa somo vby...
kaka nimependa ulivomjibu mdau.. sorry kwa kuinglia mda but mm mzunguko wangu ni siku 21-23, je n siku zipi za kushika na kutokushika mimba?? msaada plz maana huwa sijielewagi na most of time natumiaga kinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.