Katiba ya KKKT ni kuwa Askofu Mkuu awezi kamwe katu asilani kuingilia dayosisi yoyote. Maamuzi ya kifedha na Rasilimali ya Dayosisi ni Juu ya Askofu muhusika na sio swala la Askofu Mkuu. HATUA kubwa aliyoipiga BABA askofu Shoo ni kuakikisha kuwa Kunakuwa na katiba moja ili kuwe na uwezo wa...
Hiyo kanda ku na hospital kubwa ya rufaa na serikali. Imeamishia chuo kikuu cha afya ya tina cha vhuo kikuu cha dar esa salaam hapo. Na kinaendelea vizuri. Serikali imekusudia kufanya hili jema kwa ajili ya kupatia wananchi wote huduma bora za afya
Kwa dhati ya Moyo wangu ninampongeza sana Prof Lyamuya na team yake kubwa kwa kazi nzuri. Huu ni mwanzo mzuri kwa gonjwa hili hatari. Nawapongeza sana.
Ila na mimi ninamapendekezo machache ya kuboresha utafiti huu kwa usalama na maslahi mapana ya taifa na watu wake,
1. utafiti huu umefanywa...
Ni
Nimejaribu kuwa na jicho la pili, nikaona kuwa kuna kila kitu tunatizama kwa jicho hasi ili tu kuonyesha vyuo vyetu na wasomi watanzania hawafanyi chochote. Hiyo sio sahihi. Nimejaribu kufuatilia kwenye mitandao mbalimbali ya kisayansi na kuwakuta baadhi ya watanzania waking'ara kama...
Mbunge wao kaaamima kigamboni, jimboni anaenda kutaliii tu. Aripiga picha akiwa kwenye feri eti wananchi wanamshangaa kupanda feri. Sasa kawa naibu waziri wataisoma namba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.