Taarifa niliyoipata ni kwamba ndege iliporuka ilionesha "engine oil pressure" iko low na msukumo wa engine pia uko low. Taratibu za uendeshaji wa ndege zinamtaka rubani azime engine na kutua katika kiwanja kilichopo karibu. Hivyo ndivyo alivyofanya rubani.
Mafundi walisafiri jana kwenda Mwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.