Haiwezekani kukukomoa kwani hata mahakama au ustawi wa jamii wenyewe wanazingatia kipato chako kabla ya kukupangia kiasi cha kutoa matunzo.
Na isitoshe kama mama anao uwezo hapaswi kupewa chochote. Na zaidi ya hayo mtoto anapokuwa ameacha kunyonya mama akikataa kukaa nae na ikiwa ana uwezo...
kaka philemon, binafsi umenizindua usingizini...... sikujua juu ya yote haya, huu ndio umuhimu wa JF. pamoja na hayo mengine mi nilidhani ule mradi wa airport mkuranga unaendelea.
binafsi sioni tatizo kwa jeshi letu kupewa misaada ya vitendea kazi, kumbuka kuwa jeshi ni taasisi na si mtu fulani hivyo si rahisi kama unavyodhani kununuliwa. zaidi ya hayo kama unadhani hii misaada ni tatizo ni bora tuizuie ya nje.
wana JF nilipenda kuchangia mada hii lakini nashindwa kwa sababu sijui mnatumia vigezo gani.....maana ni vigumu kama kila mtu anatumia vigezo vyake.....binafsi naweza kuchagua wazaramo kwa kuzingatia vitu fulani....
kaka unakuwa kama hufuatilii habari za kisiasa, hivi unadhani serikali gani inaweza kukubali kuhusika na suala kama hilo? serikali yoyote ya wenye akili lazima watakataa pamoja kuwa hawataacha kuwachukulia hatua wahusika.
saaaana kaka,
Fikiria mfano mdogo tu..... tunaarifiwa kuwa hata watoto wake hawakwenda kusoma ulaya inamaana katika maisha yake ya uwaziri hakuwa na uwezo wa kuwasomesha huko?
Kanakwamba hiyo haitoshi wakati yuko wizaraya mambo ya nje angekosa hata michongo ya sponsorship kutoka nchi za...
ah! ndugu yangu kwani hufuatilii matukio mbalimbali ya kule kwa wenzetu wanaojifanya wako mbele kwa ustaarabu na mambo ya maendeleo?
Kama hujafuatia basi unaweza kuanza kufuatilia na utagundua viongozi wao wanavyowakosoa kwa kupitia cartoon mbali mbali tena za kutukanisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.