baadh ya wanafunzi waliweza kuangalia post za vyuo kupitia lain za cm ya mkonon AIRTEL kwa muda wa masaa kadhaa tar 17 augost 2013 kwa kubofya *150*44# na kufuata maelekezo wakat tcu wao bd hawajatangaza na kutoa oficialy bt muda c mref airtel wakasitisha huduma hy kwanin?
by itembe, kwa kwel watanzania walitia aibu taifa le2 bt haya ni matokeo ya serikal ye2 kushndwa kuwapa vijana mising bora ya ajira kwa vijana sasa ucpozba utajenga nyumba nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.