Mkuu kuna vitu vingine hapa duniani vipo kwa ajili ya wenye fedha, DSTV ni mojawapo. Jamaa wale wapo kwa ajili ya ku-entartain watu wa kipato cha juu. Huduma zao ni bora hakuna mfano! Ukipata fedha tuonane multichoice.
Habari za leo Wakuu!
Naomba kufahamu naweza kupata wapi kitabu cha "Juma na Roza" ili watoto wangu nao wafaidi hadithi zake. Nipo Dar kwa sasa.
Jumapili njema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.