Search results

  1. K

    Halima Mdee: Serikali iache kukimbilia kukopa inadumaza akili

    Au Mdee kahisi COVID 19 hawadumu, kwahiyo anatafuta exit point!
  2. K

    Watumishi waliopandishwa na kisha kushushwa madaraja 2016, Rais na utumishi muwaangalie kwa jicho la huruma

    Wengine walipandishwa Mwaka jana wakawanyang’anya vyeo kisa walikuwa shule. Nao waangaliwe .
  3. K

    Ukibahatika kukutana na Rais Samia utamuuliza swali gani la msingi?

    Nitamuuliza 1. Kwanini Benk ya Kilimo isitumike pia kuwekeza kwa vijana wanaomaliza vyuo kuwekeza katika miradi maalum itakayosimamiwa kwa program maalum bila vikwazo vya dhamana ya mali? 2. Ikiwa fedha za mikopo zimejenga madaraja ya juu na watu wanapita bure, kwanini fedha za mikopo za daraja...
  4. K

    Wito kwa Dkt. Faustine Ndugulile na Mhandisi Kilaba; Semeni ukweli kuhusu vifurushi

    Gharama za makampuni kutoa huduma ya 1GB ikoje? Kiasi gani wanapata katika 1GB? Yaani 1GB kwa mteja ni sawa na kilo moja na nusu ya mchele? Ni hatari sana. Naaomba kufahamu gharama za kampuni kutoa huduma ya 1GB
  5. K

    Zitto: Ni aibu na unafiki mkubwa wa Kidiplomasia tunaacha kuipigia kura Kenya mwana jumuiya mwenzetu wa EAC na kuipa Djibouti kura ya UN kupata kiti

    Tunashukuru kwakuwa hii habari ni fake. Hata, watu wanaolaumu tusisahau Kenya iliwahi kuwa wanazunguka mataifa kadhaa miaka ya nyuma kushawishi Tanzania isipigiwe kura kuruhusiwa kuuza Shehena ya pembe za ndovu ambazo zilikuwa ghalani
  6. K

    Peter Lijualikali aweka wazi uozo ndani ya CHADEMA

    Kumbe Lijuakali huyu jamaa boya aisee. Hivi alipataje ubunge?. Nilifikiri atasema JPM kama mwenyekiti wa CCM hakuna sehemu anaweka saini ili fedha zitumike? Halafu hajui kuwa hata serikalini kuna viwango vya fedha ambazo haviwezi kutoka mpaka idhini ya Rais?.
  7. K

    Msimamo Rasmi: Wakati Umefika kwa Freeman Mbowe (MB) Kujiuzulu; na Sekretariati Yake...

    Kwanza nikitarajia uoneshe kujirudia kwa siasa za Tanzania hususan ukilinganisha siasa za wakati huo na sasa ili tuweze kuona kwenye mizani. Pili, umeonesha nguvu na umaarufu wa Mrema ilivyosaidia kuinua Chama chake na ukakiri nguvu yake ilivyoisha na habari ikaishia hapo. Je, Chadema hii...
  8. K

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Pitia huu uzi na kama hujapata majawabu ya maswali yako basi utanisms nikusaidie.
  9. K

    Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu limefika kileleni. Serikali ichukue hatuna kuepusha matatizo ya kisiasa na kijamii

    Nimeweka website ili kuwapa mwangaza wa PASS. Ila nenda kwenye news utaona tangazo kituo atamizi. Nimefuatilia tangia wamechukua vijana awamu ya kwanza na sasa najua wapo waliokopeshwa wachache, wengine wapo katika hatua maana walikuwa hawana mashamba yao binafsi. Na sasa wapo na batch ya pili...
  10. K

    Tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vikuu limefika kileleni. Serikali ichukue hatuna kuepusha matatizo ya kisiasa na kijamii

    Mkuu hapa nilikuwa nakusanya takwimu niandike suala kama hilo. Uzuri umeniwahi basi naomba nikupe pongezi kwa andiko hili. Tunafahamu vijana wahitimu wa diploma na degree wapo wa fani mbalimbali. Lakini hizi fani zote zipo zinazoingiliana katika mnyonyoro wa thamani ambapo ukiinua wale wa...
  11. K

    John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

    Naona angalau wewe umeona nini kazi ya Katibu Mkuu. Ukifuatilia mikutano hii ya chadema wametoka kwenye the so called mechanical politics. Sasa nashangaa baadhi ya fans wao humu wanataja majina ya aina hiyo ya siasa. Ile nafasi ina hitaji mtu wa mipango sana na sera
  12. K

    Elia Michael: Kupona kwa Tundu Lissu kumetibua mipango iliyokuwa imepangwa

    Naona umeandika hisia zako au mawazo yako. Hujaweka ushahidi kwa hayo uliyoyaongea. Hata hivyo kuna thread moja za leo mtu anajiitta johnthebaptist ameandika baada ya wiki Lisu ataambuka, Molel mbunge ambae alikuwa CCM, baadae tumeona video ya huyo Musiba akitoa shutuma kwa Lisu, wakenya,CDM...
  13. K

    Ukweli mchungu kuhusiana na mradi wa Stiegler's Gorge

    Mkuu huwa nakukubali. Hata hivyo kuna mambo hapa hauko sawa. Ingawa nia ya kuwa mradi mkubwa ni poa kabisa. Hata hivyo 1. Umesema Mikoko: Mikoko ni moja ya mazalia na sehemu ya kula chakula ya millions ya samaki wachanga. Hivyo ni muhimu sana maana ikiondolewa mingi athai zake ni samaki kupungua...
  14. K

    Mjadala: Nini kingetokea Serikali isingeingilia biashara ya zao la korosho?

    Serikali ilifanya vizuri kuingilia mchakato. Hata hivyo, ilivuka mipaka tofauti na uwezo wake. Ilitakiwa kuishia pale ambapo wanunuzi walipatikana kwa bei ya 3000+, hapo ndipo wangenufaisha wakulima na wananchi wa kusini. Hatua walioendelea nayo haikuwa sahihi na imeleta na italeta athari kubwa...
  15. K

    Ushauri kwa Director Modestus Francis Kipilimba - Part II

    Binafsi nimepitia part 1 na hii part 2. Nimependa. Kuna hoja hapo kuunganisha nguvu na mikakati ya wizara ya vijana, kilimo, mifugo na uvuvi na biashara nk..Itaongeza ajira kwa vijana. Badala ya nchi kukopa hell na kupeleka bank ya kilimo basi iangalie jinsi ya kutumia hizo wizara kuongeza ajira...
  16. K

    Meli za Kichina zanaswa kwa Uvuvi haramu

    Mtoa mada 1. Unatakiwa uelewe jamii za samaki zinazopatikana nchi mbalimbali. Jamii(species) za vibua zinazoingizwa nchi hazipo katika bahari yetu. Sisi tunajamii nyinginezo za vibua. 2. Unatakiwa ujue hizo meli za uvuvi za nje zinavua bahari kuu na jamii ya samaki wanaovuliwa na hizo meli ni...
  17. K

    ARUSHA: Mgombea kutoka Rwanda ashinda kiti cha Spika wa Bunge la Afrika Mashaririki

    Kwa mujibu wa ITV saa mbili usiku, wajumbe wa Tanzania na Burundi walisusia uchaguzi
  18. K

    CHADEMA, Taarifa kwa Umma: Kuhusu uchaguzi wa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki

    Wewe umeandika kishabiki haujataka kufikiria critically. Hapo ina maana mratibu wa EALA Tanzania amefeli kuunganisha wabunge wake kwa msalahi ya nchi. Hapo nchi inaonesha kabisa hakuna umoja wa vyama vya siasa na hii inawezekana kutokana na Mambo mbalimbali ya ndani huku. Sasa hapo waandishi wa...
Back
Top Bottom