Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini)
Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana ukanifikisha Ijumaa kuu.
Hongera sana viongozi wa chama na serikali.
Kusifia ni muhimu.
Hizi data za performance zina mislead. Ni kama data za kukua kwa uchumi zioneshe kuwa uchumi wa Mozambique umekua kuliko wa Uingereza.
Katika top tourist destinations duniani, hatupo.
https://www.graveltravel.com/blogs/gravel-travels/most-visited-countries...
Hii ilikuwa ya kwenye theatre, wanakofanyia maonesho yao nafikiri pamoja na mambo ya opera na music concerts.
...On 23 October 2002, 40 Chechen militants headed by warlord Movsar Barayev took 912 hostages at the Dubrovka Theatre in Moscow, where the popular musical Nord-Ost was showing.
Three...
Chakula chao kikubwa injera, nafikiri kinatokana na ngano. Pia wanapenda kula nyama mbichi. Hivyo usije ukajisifu kuwa una chakula cha kuwapa, kumbe wao hicho chakula chako hawakielewi.
Ni kama mtu wa Ifakara awe anafikiria kuwapelekea mchele wahaya wa ndani ndani huko, ambao chakula kwao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.