Kwangu yote anayapata mshahara mzuri, likizo, mapumziko, zawadi na mafunzo ya cherahani..kimbembe yeye hawajibiki ipasavyo ukimkosoa anavuta mdomo kama chuchungi namwacha afanye atakavyo kwani wasichana wa kazi ni tabu kuwapata.
Leo imenishangaza kwenye habari za magazetini, Kanumba azikwa kwa mil 70, rambirambi zilmefikash mil 90, mama yake amepewa mil 4! Maziko kwa mil 70? Halafu tunaambiwa ameacha magari 3 na alikuwa na akiba ya mil 40. Bado kuna utata....
Hapa Muheza Tanga ndio waoga kama nini watu wanaogopa matusi kutoka kwa makada wa CCM, bendera za CDM ni chache sana, viongozi mkitembelea maeneo mzibebe na bendera, kofia, tshirt msisubiri kipindi cha kampeni
Katiba mpya ionyeshe wazi nafasi sawa kwa wanawake na wanaume katika nyanja zote, kumiliki mali, ardhi, elimu na uongozi.
Wananchi wote wanapata sehemu ya ardhi iwe kwa wanaoweza kununua na hata waasio na uwezo wagawiwe sehemu ardhi kupitia serikali za vijij.
Oooh..mbona wameshafika huko hadi mama spika kaipata harufu yake anajihadhari mapema hatogembea tena ubunge, ule mkutano aliofanya jimboni kwake TBC walionyesha hakuna hata watu kakusanya ndugu zake wanamsikiliza...CCM hawana jipya
Nendeni sehemu tulivu kama beach za kigamboni Sunrise for one night, wine kwa nyama choma pembeni, ongeeni mambo ambayo hamjazoea kuhadithiiana, avae ambacho hujawahi kumwona amevaa..cha mvuto..Mwambie jinsi gani unavyompenda na kumthamini inatosha. Hata isahau siku hiyo
Kuna Binti mmoja kutokana na uzuri wake ililazimika abaki kwenye kumbu kumbu zangu
tangu mara ya kwanza tukutane Dukani Jirani na Maskani yangu. Baada ya nazani nilifanikiwa
kumuona mara ya pili akiwa amevaa school uniform ndo nikajua kwamba ni Mwanafunzi.......na blah blah nyingi kumbe...
Pole.. huyo mambo yameshamshinda, mwambie akamwone daktari apate ushauri.
Na wako wengi si unaona mabango ya dawa za kienyeji..eti maganga kutoka sumbawanga ana dawa za nguvu za kiume hujiulizi mbona hakuna nguvu za kike!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.