Kucheleweshewa mishahara sio hoja..! those things happens kila mahali..! kwanini mzungumzie Ipp tu ?
Kama kuacha kazi kwasababu ya kucheleweshewa mishahara wangeanza kuacha wafanya kazi wa serikalini...!
Those are like housegirls, they choose where to go and work..!! Hakuna anaye katazwa...
Wapi mjini naweza kupata Saloon yenye huduma bora za jinsi hii ..! Nahitaji Saloon yenye busara na si ya vijana wakihuni..Mwenye kufahamu anaweza kuni pm au kuniandikia moja kwa moja kwa hapa !
Mkuu ni kweli kabisa, wakati mwingine ni vema kujiuliza maswali ya msingi zaidi.
Hatupo hapa kuchomana bali kuwekana sawa pale palipo pindika.
Mimi kama mimi bado ninauhakika kabisa kwamba posts na picha nyingi zilizokuwemo ndani ya zeutamu si yeye Peter pekee aliyezitengeneza na kuzituma...
Ni mtu pleasant na mwenye kutabasamu wakati wote mahala penye vibinti vidogo..!
Mtu kama huyu dawa yake ni ndogo sana. The time of kulindana is out now..!
Rushwa ya mapenzi kwa Tanzania ni kitu cha kawaida kila mahali , Hapa kwenye umiss inaonekana zaidi kwa sababu masikio,mawazo na macho ya watu walio wengi huwa inaelekezwa zaidi kwao kwani ni mabinti wenye kupendeza na kuvutia ki ngono,
Nenda kwenye Halmashauri/Munispal au kwenye makampuni...
Nadhani kajitahidi kuliko marais wote duniani, kwani ni yeye pekee ambaye ameweza kutangazwa zaidi kwenye web site ya ZEUTAMU..! Ulitaka awe maarufu kiasi gani zaidi ya pale..!
Huyu mama atakuwa alijaribu kuleta kale ka mtindo ka wakina jk ( tabia za baadhi ya viongozi wa kitanzania ) ndani ya Umoja wa nchi za Kiafrika ( AU). kwa kutegemea kuna kulindana. sio kosa lake , Natumia usemi usemao....ASIYEFUNZWA NA ***** HUFUNZWA NA ULIMWENGU..
Hapa ni fundisho tosha kwa...
Sina utaalamu sana wa mambo ya budget za nchi na sina utaalamu sana wa misamaha ya kodi kwa nchi mbali mbali , Lakini kwa nchi ninayo ishi kwa sasa, ninatambua kabisa kabisa kwamba misamaha katika kodi mbali mbali ipo hasa kwa mashirika ya kidini na hizo Non Goverment Organization ( NGo´s)...
Ndugu nakuunga mkono asilimia mia..!!
Hapa panatia shaka sana..!! ukisha jua kesho kutwa unakufa..hivi kweli utakuwa na uchungu wa kumsaidia yule atakaebaki ? Ndio...kwa wachache sana na si VIONGOZI WA KITANZANIA.
Kawa wanaweza kuwanyanganya mali waziwazi maskini wa kitanzania wata shindwa...
Ndugu zangu Inatisha na kuleta shaka sana kwa kusoma maelezo yaliyopo hapa kwenye hii taarifa nyeti iliyopelekea kutoa hukumu ya babu SEYA na Familia yake.
Ni kitendo kibaya ambacho kila mwenye akili timamu lazima atakipinga kwa nguvu zote. Ila pia tusisahau sana kwamba maelezo hayo hayakutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.