Si amini kama kweli hapa duniani kuna mtu ambaye ni safi asilimia mia. tunachoakiwa watanzania ni kuwa makini kwa kila maamuzi tunayofanya hasa wakati wa kupiga kura kuchagua viongozi wetu la sivyo tutaendelea kuumia tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.