Tatizo la mkoa wa Kagera ujuaji ni mwingi sana watani zangu wahaya wanajifanya wanajua kuliko, na walalamishi sana Kagera huwezi ukafanya kazi Kwa Raha lazima wanasiasa na watu wambao wanaushawishi wakusumbue, Stendi imejaa matope ebo hiyo Airport miaka kibao haipanuliwi kisa ujuaji
Nenda kalime uone gharama na ugumu wa kilimo hafu uvune mtu akuoangie pa kuuza, biashara huria kama huliki utakula Kwa kununua! Mbona bidhaa zingine bei juu na hamlalamiki?
Gavoo anaongeea na President Kila siku wewe Katibu Mkuu Hadi uitwe, Gavoo ndiye Yuko kwenye chungu Cha pesa, na ndiye mshauri Mkuu wa serikali kuhusu Masuala ya uchumi, mikopo, riba nahata baadhi ya sera za kifedha na Kodi kadha wa kadha nk
Alipunguza utegemezi Gani? Rais alidanganya kuwa hakopi tunajenga miradi Kwa pesa yetu kumbe uongo? Huyo Ruto asikudanganye kuwa hatokopa hizo ni propaganda ambazo zilishapitwa na wakati achana na maeneo ya siasa Kwa ground Hali haiko hivyo
Kijana huna mke, hapo alienda Dom Kwa Jamaa yake na usikute wako ofisi Moja, kuwa makini tu ila nakushauri kama una roho ndogo acha kumfuatilia usije ukaumia
Ndiyo aliyeleta mswaada wa tozo Bungeni? Utawala (Executive) ndio wakulaumiwa hafu ujue tu Muswaada wowote lazima ujadiliwe na Baraza la mawaziri ambapo Chair ni President unataka kuniambia Zungu kaiweka serikali yote mfukoni?
Ni jukumu la serikali kutoa huduma Kwa wananchi walipa Kodi, we dogo Kodi anayolioa Mbowe pengine hata 1/9 huifikii, majukumu ya serikali lawama ziwe Kwa Mbowe kijana wa hovyo kabisa wewe, inawezekana unatatizo la akili
Hicho chuo ulichosoma ukawa free kufanya hayo yote bila kuwa discontinued nazani nicha binafsi , ila pole mabinti acheni tamaa sichokiamini ni usagaji huku una mabwana wengi labda kama ulikuwa na pepo la ngono
Wakati awamu ya 4 watanzania wameichoka nazani ulikuwa bado unanyonya, na tunarudi kulekule subirini mtaona viongozi watakavyorudi kutukanwa na kuitwa mizigo kisa mambo ya kujuana na Dili za hovyo za kuiuza nchi
Nakushauri ufanye maamuzi ya msingi Ili uwe na amani kama alikuwa anakuja kwako unampa mgegedo au wewe unasafari kwenda iweje afanye hivyo na kama alibaini kapata Mimba alishindwa kutumia njia ya kuitoa?
Kitu ambacho watu wengi hatujui ni kuwa USA kawekeza sana Taiwan na hata makampuni mengi ya Wazungu wayliyoko China yalianzia Taiwan, kwahiyo hicho kisiwa ni strategic area ya USA. Na China hawezi kuanzisha vita atajikuta anavipigania nyumbani kwake mjue kuwa Korea, Japan, military base za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.