MISO MISSONDooooooo
Wamepigwaje hapoooooo🤣🤣🤣🤣🤣
Na ndio weekend haijaanza shughuli trela limeanza
Wake wa live score wahini Corners zitatoa kibao Liverpool na man united
🤣🤣🤣🤣
Mdau unajua betting ni Sawa na kupiga Punyeto
Unamvitia Stim Wema Sepetu na unamtia Mimba kabisaa wakati yeye hata hakujui
Ukisikia Wema kachukuliwa na Whozu unamuacha na talaka na makasiriko juu,kisha unahama kwa JOKATE,ukisikia JOKATE amezaa unahama kwa Gigy Money
Sasa...
JKT vs YOUNG AFRICANS
Hii Mechi mara ya inawekwa mara inatolewa
Naona mida hii pia imetolewa options zoote
Sasa sijui huko Mbweni JKT mvua imenyesha tena au vipi
Jamaa JKT hawataki kutoa hata mia yao kukodi Chamanzi,milin 5 sio Poa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Aisee K Vant hazimuachagi mtu Salama
Anafanya betting simple hivyo kama kutongoza Bar maid
Njia zoote anazofanya watu waliishafanya kabla hajazaliwa
🤣🤣🤣🤣
Italy tabu kitambo tu ni League ya wacheza KAMARI
Utakumbuka kuna Boss wa Team tena iliyowahi kuchukua Ubingwa alinaswa kupanga matokeo.Akihusishwa na Mabillionea wanaobet.
Yaani inacheza tu league ya Italy ila ina mipango Mingi mnoo ya nje ya Uwanja
Championship ya Italy ndio...
Wale wa Penalties Benfica na Marseille na Fenerbahce na Olympiacos niliwasubiria kwa ham wameingia kwenye mfumo wa Penalties under 6.5
Nimeanzanao kwenye mkeka wa Weekends
Pole mda
Mie hii niliipa bookings ilikuwa na over 2.5 mpaka Halftime Cars 2,so itatoka tu bookings
Ila corners zilikuwa 7.5 hii imekaa vibaya mnoo mpaka Halftime hawana corner hata Moja aiseee
Alifikiroa pesa ya KUBETIA ndio kutoboa Maisha
Mwache ajiue
Mwenzie 7 millions zimekatika za kinuua mgongo hatimae kama kadata vile
Tunacheza tu,ila kwa wengine hili ni Janga la Ukooo,yaani unabeti huku umembeba Mwanao utashangaa Mwanao pia akikilua na yeye anabet mpaka wajukuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.