Japo sizijui hizo aina za uchawi ila nimepata kitu kidogo. Sasa mkuu kutokana na uzoefu wako siku ikitokea wachawi wakianzisha bifu na mtifuano kati ya hawa wa pwani na wale wa bara unafikiri ushindi utaenda wapi?
Mkuu ina maana Pwani ina rasilimali za kutosha juu ya uchawi? Je wale wachawi wa kanda za mbali na pwani kama sumbawanga hufunga safari kuja pwani kufuata rasilimali?
Kuogopa lazima mkuu.. Kumbuka unapambana na adui ambaye humuoni lakini madhara yake pamoja na aibu vinaonekana.. Mwalimu hawezi kua sawa kisaikoloji hapo. Maafisa elimu wafanye maamuzi magumu ama watafute walimu wazawa wa hicho kijiji warudi kufundisha kwao wataenda sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.