Pole sana mkuu.
Biashara ya bajaji na bodaboda iwe ni day au mkataba kama mmiliki wa chombo hauko makini utakuwa mtu wa kulialia na kupata hasara daily.
Hapo kama mliandikishiana mkataba watie ndani wadhamini wake.
Fuata huu ushauri maana hata ukifungua kesi polisi wenzake watambeba hutopata haki yoyote.
Fanya uchunguzi wako wa kimkakati ni viwanja gani anapendelea kwenda kulewa unatafta malaya unamset jamaa akijichanganya mnamfira.
Habari zenu wakuu.
Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile.
Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.