Mkuu Abdul wahid na wauazaji wote wa TV,
natoa mapendekezo, either muanzishe uzi mwingine ambao mtakuwa mnaweka picha za tv ,ikionyesha aina, ukubwa wake na ubora wake na bei zake kwa wakati huo mnavyoziuza, ili sisi wanunuaji/wahitaji tupitie tuone kwa maelezo hayo mliyotuwekea je tunaweza...
ni kweli story yako inavutia kiasi kwamba mtu unataka ujiridhishe kuwa ni kweli, kwetu wengine itasaidia kufundisha na kuwaelekeza watu na watoto nini wafanye na nini wasifanye..nasubiri
hajatuambia hali za akina K na mke wake, mdogo wake na mke wake na feisal na wote aliowavunjia ndoa zako je sasa wamerudiana?
halafu hizi code za 0744- bado zipo ama hii aliifanya zamani?
pia, anatuhakikishiaje kuwa alichoandika si hadithi ya kutunga ni kweli tupu?
tena, isije ikawa yeye ndo...
Naona dalili ya vyuo vikuu vingi kufungwa kwa kukosa wanafunzi, kushindwa kujiendesha kwa ukosefu wa fedha.
pili watoto wengi kukaa nyumbani bila sehemu ya kufanya jambo ambalo litaleta, pengine, political instability, umaskini kuongezeka, ujambazi n.k.
waziri wa elimu afikirie upya jambo...
Naomba na mimi nitupie swali juu ya swali, ndg yangu ameagiza gari dogo kwa ajili ya kumtembelea, Ila katika negotiation pengine kutokujua ama kupunguza gharama - sijui gari limetumwa bila kuwa n a inspection certificates( JAAI). Alipomuuliza muuzaji anamwambia angalia invoice yako...
Aah Mkuu Tuta, kama ndivyo sawa, yaani kiwango kinabaki kilekile ila serikali inachukua asilimia 10 ya kile walichokukata tayari.Hawa jamaa si watapandisha tena viwango vya ukataji ili waendelee kupata faida ileile, mlaji wa mwisho kwako tena.asante-
inaonekana muda tu ulikuwa haujafika.
Mbona unaonekana kuyajua hayo?Au kuna mtu alikusaidia kufanya reserach mkuu, hujaoa umejuaje kuwa ni gharama nafuu kuwa na mke?
Pia watu wote hupitia hayo maisha, ya kuwa na mchumba kwanza na mnapokubaliana mnaoana, hivyo manweza kuwa mnatoka kwenda kula KFC...
Wakuu!
nimechoka kabisa na nimekata tamaa kabisa. Pengine ni kutokuelewa ama vipi kwani watu wengi naona hawajafurahishwa na bajeti hii.
Pengine niulize
1/ Upandishwaji wa gharama za e-pesa, zikoje?hii 10% inakatwaje?ukituma 100,000/= unalipia 10000? Au itatulazimisha turudi kwenye benki hata...
Nakuunga mkono kwa kweli kwa asilimia zote.Mamlaka husika zichukue hatua haraka kuhakikisha kuwa vibaka, majambazi na wezi jijini Dar es Salaam wanakomeshwa kabisa na hali irudi kama zamani.
Wananchi tunaishi kwa hofu sana siku hizi.Uporaji wa magari, pikpiki na bajaji na uporaji na ukabaji wa...
hapo umekosea kufanya mambo kisiri---ndoa ndio inavunjika hivyo na itakuvunjikia mikononi mwako. nafikiri iongea nae kwanza.
maombi ya kutaka utajiri sio maombi ya kweli, hizo ni tamaa, na ataliwa sana hela na hatakaa apate chochote.Nakuhakikishia
hapo kutokujuana vizuri hulerta shida mbeleni. si lazima mtembee naye kabla ya ndoa, bali kumfahamu mtu tabia yake anapenda nini, mtu wa dini ama sio ni vitu vinavyohitsaji utafiti/uchunguzi.
hata hivyo mtafute mshenga muongee naye
Ingawaje ni uzi wa kitambo kidogo, bado mnaweza kunisaidia, jana nimeuliza kwenye mojawapo ya duka la mifugo hawakuelewa wanipe dawa gani, mnaweza kunishauri wakuu dawa gani hasa nikaulizie dukani.hili tatizo sana hapa Dar.Tafadhali ushauri wenu muhimu sana kwangu
changamoto hizo unazozisema ndo maananikawa nimeshauri tutumie kiingereza toka awali. Kenya wanaongea kiswahili, lakini ufundishaji ni kiingereza, uganda vivyo hivyo---wataalamu mtanisaidia. Ikija kwenye ushindani wa ajira pia, hata watu wenu wenyewe mliowaweka kama wasiamamizi, na watawala-MDs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.