Pole, ni rahisi sana! Baba wa mtoto Ana wajibu wa kumtunza mtoto hata km hayupo mikononi mwake, na ustawi hawawezi kukubaliana na baba kugoma kumtunza mtoto kisa hayupo kwake, unafahamu kuwa sheria ya mtoto inakubali mtoto akae na mama hadi miaka 7 alafu mtoto mwenyewe achague km anataka kwa...
Vipi kuhusu vyuo vikuu vizembe, ambayo, kushindwa kutoka vyeti kwa baadhi ya wahitimu kwa muda husika?? Na je tutor taarifa au introduction letter inatosha!
Sijui ni kwa nini mtu apate matatizo yatokanayo na kula saana na pia aanze kutumia DAWA za kupunguza unene na badala ya mazoezi, maji ya moto na pia kupunguza kula mivyakula mingi maana ni uroho tu huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.