Kulikuwa na msn messenger na Yahoo messenger kijana! Msn messenger yangu nilisahau password sijaweza kuitumia ila Yahoo messenger mpaka leo ipo hewani Toka 2002. Mitandao hiyo haikwepo Wala simu za internet hazikuweza fanya kazi maana mitandao haikutoa huduma hiyo. Mambo yalikuwa sms tu na...
Mwanamke bana utampa alfu 50 ya kusuka nywele, anashinda siku nzima anasuka anarudi kichwa kinauma na Panadol atakunywa. Basi hiyo siku ht ufanyaje game hupewi utasikia utaharibu nywele zangu.
Sisi wazoefu tulijua tu mtaja Lia siku ya payday, always maneno yanakuwa mengi utendaji kidogo. Mimi nilishawaho ongezewa mshahara shs alfu 5. Mnapewa percentage mnapiga hesabu kuubwaa mwisho wa siku tukapewa formula ya kukokotoa ongezeko inafika mpaka kibaha. Duh msitegemee mshahara kutoboa...
Iringa bomba saaana, nimeishi pale 7 good years, kwa kweli nili enjoy sana! Kale kaubaridi, shughuli za kiuchumi, ifugaji. Hasa mitaa yangu ya kujidai kibwabwa, nyamhanga, ipogoro na indiuka hahaha mnoge yuvee! Use ludodo tulonge! Nyela Iringa raha kwa watani wangu
Ht mbwa Dume huwa hachuchumai, huwa ananyanyua mguu mmoja Juu nanku pee. Hicho choo Cha sink nacho Kuna tobo lake pale lengesha mkojo wako pale usiruke ruke pembeni. Otherwise hizi ni miendelezo wa zile mada zinazopromote ushoga zaidi na kuondoa UANAUME halisi
Hakuna upambanaji hapo, huyo ni sawa na paka( simtukani ni kwa ajili ya uelewa)Paka anastawi kwenye msosi. Ukihama nyumba ukimuacha Paka ndani atakayekuja km msosi upo paka hana issue ataishi tu pale. Yaani huyo yeye anapewa capital anafungua biiashara na ku run. Haijalishi kama anapata hasara...
Yes kamanda upo sahihi nilienda kiwandani kwao nikanunua bati zao. Ziko na rangi Ile Ile mpaka leo. Ukiziangalia kama plastic flani hivi lkn ni bati na zikiwekwa Mia hapo chini unaweza dhani zipo ishirini. Sunshare wako Safi Sana toka 2017 mpaka leo nearly 6 yrs hazijapauka ziko vile vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.