Tatizo wanaotoa uamuzi ni wapuuzi na hawtumii vichwa kufikiri, kwa mini wasiruhsu mabasi ya mbali yaanze safari SAA kumi alfajiri,kwa sababu msafiri wa mabasi hayo Mara nyingi analala karibu na stand hivyo safari hizi zitakuwa na Mateso makubwa kwa abiria,Wanaotoa maamuzi hawatumii usafiri huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.