Return Of Undertaker Diamond is right tatizo la nchi hii vilaza wengi wamepewa madaraka makubwa matokeo ya ke huwa wanakurupuka kwenye maamuzi bila kujali how much hawa watu wame invest na athali wanazo sema.
Watu wañataka matokeo hizo mbwe mbwe za kutumbua haitusaidii.No ajira biashara zinafungwa mabank yanafungwa watu wanapunguzwa makazini Sasa tuna Unga mkono nini.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.