Msingi hoja
Kama mtu hajasajiriwa tigo pesa jina haliwezi kuonekana na ili atoe pesa anapewa code namba fulani na anayemtumia ndio huwa anakatwa. Huyu mtu jina lake linaonekana maana kuwa amesajiliwa. Sema TIGO wameona aibu wamemblock, lakini huyu ni subscriber...
5: Simba dumu geji 30 zinc colgated kwa bei za jumla lakini uwe na jamaa wanaozijua. Madirisha + milango ni mbao tu kiongozi plan la paa liwe futi na ni mgongo wa tembo.
Ndugu wasafiri wenzangu;
mara nyingi tunaposafiri safari ndefu tunashuhudia ajali nyingi sana barabarani za watu( wapita njia) kugongwa na mabasi ambapo baadhi hufa au kupewa vilema vya maisha. ajali hizi huwa hazipewi kipaumbele na polisi hata na media...
tuache kutetea maovu. kugonga mtu kwa gari ni kosa. sema sheria au kisu hiki cha sumatra kipite kwenye mabasi yote. air msae tangu apigwe chini amejirekebisha sasa hivi ndio metro check huduma zake kwenye basi lake la luxury. kuna mabasi ya njia...
nauli zake haziendani na huduma wanazotoa. mfano kuna basi limepewa hadhi ya luxury na nauli ni shilingi 30,000 likiwa na maana ya full ac and tv. lakini ukilipanda neither tv nor ac. full vurugu. ticketi na namba ya basi ninayo kwa ushahidi hii ni...
mh huo si uungwana hata kidogo, maana huyo mmoja aliyekufa anaweza kuwa na familia kubwa inayomtegemea. akifa tu maisha kwa famiia yanakuwa shagara bagara.
vyumba vinne means one bed room, sebule moja, jiko na stoo moja na choo kimoja. ila vyote vinakuwa ndani
chumba kimoja cha msingi wa kozi tatu ni matofari 300 * 4 = 1200
au kozi tano ni matofari 500 * 4= 2000
maximum tofari 3000/50 = 60...
Hapa jamani nimechanganyikiwa kabisa
uhuru wa tanganyika 9 december 1961
uhuru wa zanzibar kutoka kwa sultani 12 january 1964
muungano wa tanganyika na znz 26 april 1964 ndio iliunda tanzania
sasa hiyo miaka 50 ya uhuru wa tanzania inatoka wapi
naomba...
Hili ni janga la kitaifa ambalo serikali imejitakia yenyewe. hapo mwanzo kabla ya mfumo huu kuna vyuo vichache tu vilikuwa ndani mfumo wa bodi like udsm na vishiriki vyake, sua, mzumbe na vingine nilivyosahau. Mwanafunzi yoyote atakayechaguliwa katika...
Asante mkuu wa nchi.
Nakumbuka usemi wa mzee mmoja ambae alisema" atakachosema mkuu wa nchi hadharani kugeuka kama sheria" . hivyo basi tunaomba TANROAD , watendaji wa ardhi MTULIE. Acheni kutunyanyasa tumejima we kukajenga sasa mnatuonea donge na tujibanda...
hii ni kali kweli kweli. kuwaona watumishi wa mungu katika makanisa yote ni gharama. mfano ubungo, mwenge, mbezi. mikocheni na kadhalika. mimi nahitaji huduma na ninakaa buyuni -chanika . kutoka buyuni mpaka mwenge ni shilingi 2600 kwenda na kurudi. (mpaka...
ualimu ni kazi ngumu lakini at the end of the year unatakiwa ufaurishe wanafunzi wote. hivyo strategy ya kwanza ni kuanza kuwa groom standard six kuwa kama LAST YEAR(LY). Wakifika ly wanakuwa wamekomaa kabisa. hivyo basi shule ya bunge huwa inafaurisha...
Baada ya jeshi kushindwa kukusanya vipande vya mabomu. mateja wa maeneo ya pugu kinyamwezi na dampo walifanya kazi ya kuanza kukusanya vipande vya vyuma vya mabaki ya mabomu ili wapeleke kwa wanunua scrap ili wajipatie mkate wao wa siku bila uoga...
haswa hao ni simbilisi aka pimbi wanafanana sana na panya halafu huwa na mafuta sana. wakazi wa iringa msosi huo wanaujua vizuri sana . ukimuona pimbi utafikiri panya.
Hi Wote,
Kazi ya kuuza chai na kashata imenishinda. nimechanga vijisenti vidogo nataka kuwa agent wa M-PESA. Naomba details.
Mfano pesa ya kujaza kwenye simu ni sh ngapi na float ya kulipa wateja wanaowithdraw ni shilingi ngapi.
Mbona watu wanachambua 22,28 na 35 day menstrual cycle vipi hawa wenye 26 na 27. je hali hii ni normal maana kuna demu alilalamika atasema miezi yake haipo stable huwa ina badilika kuna wakati anapata 26 day , 27 days wakati mwingine anapata 28 but...
Habarini wandugu. Jana nilikabidhiwa rasmi TRL kama MD naomba mawazo yenu angalau nianze kuleta profit serikalini ikifika mwakani mwezi wa kumi. Elimu yangu MBA INFORMATICS, PGDBA,ADIT. Working experience in managerial position ni five years. Umri wangu ni miaka 30. uraia ni mtanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.