Duh ulipigwa sana poti. Ishu kama hizo unatakiwa uwe na rafiki yako unasema sema naye...inakuwaga kinga fulani akiona umekolea sana anakushtua unajirudi.
Wewe tulia mkuu, achana na mihemko ya kutaka kufanya tukio baya wala kuwaza sana! Piga kazi, mke utampata tu. Huyo weka katika listi ya vimeo uliojikwaa hivyo sahau na endelea na maisha mengine.
Kwakua umesema, nami niseme pale jirani na kwa kakobe kona ya kuelekea Mori kuna bonge la shimo yaani aibu. Shimo hilo limekuwa likifukiwa linaibuka tena ndani ya wiki. Wahusika nadhani kipindi cha mvua ndo muda mzuri wa kufanya utafiti lakini hawaonekani.
Jamani wekeni kero zote hapa za...
Waache kupaki basi....cha msingi ni kuuchambua mpira...pass za kutosha...na bila kusahau waongeze efficiency ya kufunga magoli. All the best!! Ingawa chance ya kupenya ni ndogo, chance bado mnayo ukichukulia Captain wa majogoo ataikosa hiyo mechi mhimu!
Mimi naona kuna mawasiliano kati ya nyaraka mbili. Wa kwanza, uligusia kwa lugha ya juu (high level language ili wahusika wasikie) waliposhindwa kusikia, ikalazimika kutumia lugha nyepesi ujumbe uwafikie na wajirekebishe. Kwa maantiki hiyo, huu wa pili umeandikwa kwa lugha nyepesi na ndiyo maana...
Huyo ni wa kuachana naye, mwambie ishu zako haziko sawa ndo kimoja! Ataanza kujiongeza. Baadae joto likitulia, unaweza kuanza kumuuliza tena anachotaka kufanya na kajipangaje. Kama ataweza kufanya anachotaka kufanya kwa nguvu zake mwenyewe huku ukimsupport vinauli tena vya mara moja moja!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.