Hivi kwanini siku hizi kuitwa kwenye usahili waajiri wengi hutoa taarifa kwenye magazeti au kwenye mitandao badala ya kupiga simu au kuwatumia barua...Nimesikitishwa na jamaa yangu alikuwa kijijini jina lake lilitoka kwenye usahili lakini taarifa alizipata kupitia mtu mwingine mwezi mmoja baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.