Ndugu Zangu hali zenu,
Natumia ipad, kuna namna ya kujiunga na bundle bila kutoa line na kuweka kwenye simu nyingine? (ipad ninayotumia haina namna ya ku-dial au kutuma sms za kawaida).
Naomba msaada wenu wataalam
Hii hadithi ni nzuri sana na ya kuvutia . Ina mafunzo pia .
Naomba wale watundu na wabunifu waiendeleze. Naona kama mwisho wa hadithi unaashiri kuwapo kwa uwezekano wa kuendelea kwa sababu ya maswali kadhaa yanayojitokeza baada ya kuifunga.
Asante sana mzizi mkavu. Tuletee kisa kingine cha...
Wadau,
Niwashukuru tena.
Feedback:
1. Kwenye android nimefanikiwa kupata Africa TV Plus, ila kama alivyosema kaka pale ipo Star tv na inapatikana kwa shida kidogo. Hii app haipo kwenye Ipad na jamii yake.
2. Kwenye Ipad mpaka sasa nimefanikiwa kuweka app ya DSTV ambayo kwa kiasi kikubwa naona...
Wanajamvi Nawasalimia,
Naomba kwa wataalamu wa masuala ya mobile app, mnisaidie. Nimekuwa nikisaka application ya luninga ambayo naweza kuitumia kwenye either IPAD, IPHONE au kwenye tabs za Samsung. Nipo mbali na home na ningependa kupata matukio ya TV zetu za nyumbani na za majirani zetu.
Asanteni
Jamal
Tunakushukuru kwa kuungana nasi kwenye uzi huu ili tukupe ushauri na maswali.
Swali ;
Kumekuwepo na manung'uniko juu ya kuiendesha TFF kwa misingi ya ukabila, hasa ukipendelea watu wa Kabila lako. Unaweza kulisemea vipi jambo hili ili kuwahakikishia Watanzania soka lisilo na mizengwe?
Viongozi heshima yenu.
Nimebadili simu, hivi sasa nimechukua Samsung galaxy S 4 duo. Nimeweka settings kwa kuandika "internet" kwenye APN bado Sipati internet. Naomba msaada wenu wa settings sahihi. Natumia Airtel, kwenye line kuu.
Kiongozi,
Hata kama kuna gharama za sms, haziwezi kulinganishwa na mausumbufu ambayo tumekuwa tukiyapata kwa kupata kitu kidogo kama sticker au card.
Ni kweli kama alivyo sema mkuu hapo adha ya :
1) Foleni
2) Muda
3) kujibiwa hovyo
4) pesa za hongo
5) Usafiri wa kwenda na kurudi
6)...
Wanajamvi nawasalimia Waungwana.
Kwenye pitapita yangu nimekutana na hii Habari ya TRA kutumia mfumo wa simu za mkononi kulipia kodi za magari.
Kwa kweli nawapongeza sana kwa hatua hii muhimu ambayo imechelewa. Wafanyakazi wa TRA, Police na Vishoka mmetutesa sana kwa hili la kodi za magari...
Ukiiona jinsi ilivyo inatisha. Kuna wakati wanajeshi wamelazimika kuingilia kati kwa kuwateremsha abiria kwa virungu ili panton iondoke. Sijui kama wahusika wanafuatilia majukumu yao vilivyo. Tukisikia vifo sitashangaa
Wadau,
Nawasalimu.
Wakati navuka leo asubuhi hii nimekumbana na adha ya kivuko pale ferry Kigamboni. Kwa sasa iko panton moja tu ndogo. Watu ni wengi sana kupita maelezo na kuingia kwenye panton ni kwa kutumia 'ugali'. Hali kwa kweli ni mbaya na hii ni kama mara ya tatu katika kipindi cha juma...
Hao Police walikosea kukataa risiti yako kwa kigezo cha risiti za kufoji. Katika ulimwengu wa leo watu wanafoji sana hizo sticker kuliko risiti. Na swali jepesi Ni kwamba, kama wanaweza kufoji risiti watashindwa nini kufoji sticker ambayo ndiyo muhimu kwa garish? Pole sana. Hata hivyo polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.