Umenikumbusha nilienda makete bulongwa kupitia njia kitulo aisee kuna sehemu Hilux zilinasa me nipo na xtrail nikapasua wadau walishanga sana xtrail tuna 4wheel Kali sanaaaaa
Habari wakuu naona kuna utitili wa hizi xtrail new model mjini hapa Dar tafadhari naomba kujua kama na zenyewe zina changamoto kama ya zile za mwanzo! Nataka kujitwisha
Consumption ya mafuta ikoje?
Wakuu hii ni seriously kdg huyu ni mke kbs miaka 10 Sasa lkn inakuwa shida wakati yeye anafurahia kuzaliwa kwako me nakuwa kwenye machungu ya kuomboleza kifa cha baba yangu!
Hii imeleta shida mara nyingi ingawaje mara nyingi nachukulia poa lkn nikitamani kufanya ibada ya kumshukuru Mzee katika...
Habari mkuu!
Nimejaribu kuwa wa mwisho katika kukushauri kwa sababu nimeshare story yako sehemu flan sasa nimepata majibu sasa hakuna sababu ya kwenda popote tafadhari kuja inbox nipate mawasiliano yako utawasiliana na chama cha wafanyabiashara wa madini kwa msaada zaidi wanakuhitaji sana...
Wakuu,
Msaada wenu naomba kujua hotel nzuri yenye view Kali, yenye kila kitu naweza nipate namba za Simu jina na maelezo ya ziada nahitaji kwenda kuanzia Dec 15 mpk 20 kabla ya kwenda kuhesabiwa
Asante.
Wakuu naombeni Tafsiri ya hizi sticker za Walemavu wamekuwepo watu mbeya wakishimamisha magari na kutaka ukate sticker swali je zipo kisheria ilihali barabara zetu mara nyingi tunaona hizi za 50,zebra ,stand na zingine za kawaida tu?
Inabidi fulsa ziwe kwa wote wajameni nimewahi sema hili suala wakati flani watu wakaja juu!
Wasomi wa maana nchi hii wako wengi inakuwaje leo hii wanaopewa nafasi wawe wale wale wa 2015 kurudi nyuma huko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.