Usijumlishe watanzania wote kwenye uchambuzi wako dhaifu. Usidhani watanzania ni wajinga. Eti "afadhali kuongozwa na fisadi" kama ndivyo hivyo basi wewe tafuta nchi yako ukaongozwe na fisadi. Watanzania tuamke, tujikomboe kutoka fikra duni kama za huyu ndugu aliyeandika thread hii ....
Kama wapiga kura ndio hawa waliochangia kwenye hii thread basi Tanzania kama nchi tutaendelea kuwa maskini vizazi vingi vijavyo. Alichokifanya mzee Slaa nikujaribu kuuelimisha umma wa watanzania, ili waweze kufanya uchaguzi wenye tija kwao na vizazi vijavyo. Mwenye macho haambiwi ona.
Totally different situation. Moi handpicked Uhuru at that time, while CCM has a process of selecting their flag bearer. With CCM it is not a one-man show, with KANU it was a one BIG man's show ...
Kwa sababu sisi waafrika tumelelewa kuamini kuwa serikali ndio jawabu la maendeleo yetu ... pengine jibu la swali lako ni ndio. Lakini hoja hapa ni kwamba kama wananchi wa pande zote wangekuwa wana maisha bora wakilinganisha na miaka ya nyuma, swala la muundo wa muungano lingekuwa sio la maana...
Ndugu waziwazi ... nadhani wasiwasi wako unaonyeshwa wazi kwenye hoja yako unayoitoa. Sidhani kama Tume ya Mabadiliko ya Katiba imefanya kosa lolote linalotambuliwa kisheria. Wao waliteuliwa kukusanya maoni ya wananchi juu ya swala la katiba na jinsi gani watanzania wanafikiri katiba yao mpya...
Napendezwa na hoja zako zina mantiki. Nijibu ifuatavyo:Kujibu swali lako, ni akina nani wanaweza kuwavaa wanasiasa WACHACHE wa Tanzania-visiwani wenye nia ya kuvunja muungano ... kuhakikisha hawapati kura na kuchaguliwa kushika nyadhifa kubwa za serikali. Hapa nina maana ni wananchi wenyewe...
Naona ndugu Samweli Mwandelema hujaelewa theme ya hoja yangu. Tafadhali soma tena. Hoja yangu ni rahisi na haihitaji usomaji wenye jazba na uwakaji. Hayo sasa unayoyasema, ya kuwa mtu wa bara ni taabu kuajiriwa visiwani ni shida, ndio haswa yanatakiwa kuangaliwa na kusahihishwa kwa sababu ni...
Sijasema hivyo ... kuhusu muundo wa muungano, hata bunge maalumu kwa maoni yangu haliwezi kulitolea uamuzi. Hili jambo la muungano lipo under "articles of the union". The assumption was that the people of the then Tanganyika (kabla sijazaliwa) na Zanzibar waliridhia muundo huu. Basi swala hili...
9 Desemba tunasherekea kumbukumbu ya uhuru wa nchi iliyoitwa "Tanganyika". Kukumbuka siku hii muhimu sio sawa na hoja yangu hapa mkubwa, ambayo ni juu ya kuirudisha tena nchi hiyo iliyodumu kama dola kwa miaka 2 na nusu hivi. Nasema hivyo kwa sababu mimi sio raia wa nchi hiyo kwa sababu...
Mimi ni mtanzania, ambaye nina uhuru wa kutoa mawazo yangu juu ya nchi yangu (haki ya kikatiba). Ni kweli kabisa, Tanganyika ni nchi iliyokuwa nchi kwa miaka 3 na ipo kwenye vitabu vya historia ambayo nimeisoma sana mpaka kutunukiwa udaktari wa shahada ya uzamivu :)
That is mixing apples and oranges ... mfumo wa vyama vya siasa sio sawa sawa na muundo wa nchi. Nchini Marekani, Jimbo la Texas, mara kadhaa limepata magovenor ambao wamejaribu kusema eti Texas i secede kutoka United States of America, na hawa magovernor mmoja wao akiwa Rick Perry (aliyegombea...
Shallow response. Sijaelewa hata umezungumza nini, halafu eti wewe ni "Senior Member". Wengi wenu hapa mpo tu kama wale wachache wazomeaji kwenye Bunge Maalumu. Toa hoja ... :biggrin:
You have good points. Nilichosema ni kwamba, watanzania walio wengi hawana tatizo na aina ya muungano baina ya Tanzania-bara na visiwani. Ni baadhi ya wanasiasa ambao nia yao ni kutawala, kujilimbikizia mali kama njia ya kujiondoa kwenye umaskini wao. Wanasiasa hawa wa Tanzania-visiwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.