Katika pita pita nimeona hii habari naona tushee.
Maybe the Pentagon's legendary $600 toilet seat was a bargain.
The personal bathroom used by the secretary of the Interior is so swanky that its renovation cost $222,000. No detail was overlooked: It has a $3,500 sub-zero refrigerator...
Minister gives Biz Class seat to special-needs girl
By Staff
Published Monday, December 03, 2012
Saudi Arabias minister of social affairs gave his first class seat to a crippled Bahraini girl travelling aboard the same flight to Bahrain after he saw her struggling to get into her seat, a...
Mkuu asante kwa huu uzi.
Nimekuelewa vizuri sana and I hope watu/vijana wa 'sehemu' wameusoma huu ujumbe mzito na waufanyie kazi. Nina uhakika kuna sacrifices zitatokea. Watch the space.
Pasco
Mh. Lukuvi alivyokuwa anatoa taarifa kuhusu kuachana na magari ya kifahari bila shaka alijua kuwa ni stahiki yao.
Cha msingi kama serikali iko serious na statement zinazotolowa hadharani basi ni vema hayo magari ya kifahari yauzwe na atekeleze aliyoyasema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.