SOMA HAPA
Mimi napenda kuwahusia pale wapenzi wawili wa dini tofauti kuoana mara nyingu ni furaha kwao na si watoto pale inapotokea kuachana au mmoja kufa lazima udini utoke .Mimi ni muhanga wa hili tatizo mapenzi ya baba na mama(Rip) sisi watoto hatujielewi ukienda huku unaotwa mariam ukija...
Kina raha sana hasa ukute pote wawili mnajua maana inatuo kama izagushwa zungushwa ndani ya.......raha sanaaaa hasa mbuzi kagoma kwenda umkute mdada anaicheza mwenyewe sebene mwanaume anaugulia tu:D:D:D:D
Pole sana , ila sioni ukatili wowote ni kwamba tu yamekukuta nahisi ni tabia ya mtu kwani na wewe ungekua na tabia hiyo ungefanya the same.Mwanamke si umri unaomfanya atulie bali ni malezi na akili yake ya kujitambua yeye ni nani.
Mapenzi ni mapenzi haya formula wala mbinu uishi vipi si kwa huduma wala kuaminiana .Mapenzi hayana mwenyewe siri ya moyo aijuane nani.maana hata binafsi unawesa jikana na mwenzio je??? Pendaaaa ukichoka acha labla huduma na utambulisho ndio mtu kilimvutia si mpenzi tuu yakiisha jikateee
Mimi ni msichana wa miaka 23, katika maisha yangu ya mapenzi nimejikuta natongozwa sana na waume za watu au mwanaume ambe yupo kwenye mahusiano , jambo hili limedumu sasa kwa miaka 3 yani hadi ma baba wa rafiki zangu au kaka zao wananisumbua nina boyfriend ila pia ni mchuba wa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.