mi nalia na hawa vodacom maana wanatuma sana confirmation sms iwe umuweka vocha na umejiunga unakuta unatumiwa sms ata 5 kwa muda m.moja zinakera aiseeeee
na kwanini kila kunapotokea shambulio la askari lazima waje na report inayosema "wanaohisiwa" neno "isiwa" linakujaje inamaana wanakuwa hawana uhakika na wanaowashambulia au ndo kujihami katika utoaji wa maelezo?
watakuwa wametusaidia sana kama watatekeleza kweli maana ilishakuwa ni kero sana ....unasikiliza tangazo dakika 15 ndo simu inaanza kuita au unaambiwa haipatikani na muda mwingine unahamua kukata tu ata kabla haijaita.
hile ni kazi kama zilivyo kazi nyingine tu ....kazi yeyote lazima iwe na changamoto ata ya yule muuza majeneza au ya mtengeneza majeneza ata ya muuza sanda, au askari maana nao n wabebaji mizoga muda mwingine ata dereva wa ambulance zote n kazi zenye changamoto sana mara ya kwanza utaiyona n...
hapa ndipo linapokuja suala la kwamba "shamba lako lakini mazao ni ya serikali" we komaaa wee lakini mwishowe utayauza jinsi watakavyo wao na si wewe mkulima.
tuiache serikali ifanye kazi yake na ikishindwa ndipo itatupa majibu sahihi kwamaana sioni kinachoshindikana hapo kibiti ni sehemu ndogo sana sioni ugumu wa kukidhibiti na kuwakamata hao waarifu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.