Search results

  1. A

    Hivi JK alijua anaongea na kundi gani pale Davos?

    Kwa kweli nashindwa kusikiliza part ya mukulu, i just feel so embarassed OMG. He is just too empty.
  2. A

    Kikwete On TBC1: Aongea na wazee wa mkoa wa Dar

    Aisee watu wanalala balaa. Tatizo mukulu anaongea upupu.
  3. A

    Hivi ndivyo prof. Maghembe alivyopata ubunge wake Mwanga

    We are so cheap! Damn!
  4. A

    Kunasa simu za watu.!?

    That is invasion of peoples privacy. Unfortunately people here dont see anything wrong with it until when your privacy is invaded.
  5. A

    Hoja bungeni: Salvatory machemuli: Jembe la ukweli la chadema ukerewe

    Aisee huyu mbunge kanifurahisha na kunipa matumaini kuwa kuna watu makini.
  6. A

    Asante sana Mh Mnyika, umewajibu mabongo lala, wauza sura na manjuka

    asee kuna watu wako serious na kazi walizopelekwa kufanya bungeni na mmoja wao ni Mnyika. big up bro.
  7. A

    Shehe Mkuu wa Tanzania awakataza Waislamu kushiriki maandamano ya kisiasa

    Research nyingi zinaonesha nchi nyingi zilizoendelea hasahasa europe watu wake hawana misingi ya kidini. They mostly rely on facts. Now i know why.
  8. A

    Risasi zafyatuliwa Manzese kutawanya wafanyabiashara

    Hivi haya matumizi ya mabomu na risasi mbona yamekuwa rejareja kiasi hiki. Afu watu wanashangilia humu ndani! Yana madhara yake jamani haya matumizi ya nguvu kupindukia!
  9. A

    Mitambo ya Dowans sasa kuwashwa - Waziri Mkuu Pinda

    Tatizo watanzania mnapenda majibu rahisi kwa maswali magumu. Kwani hayo maji mtera yameanza leo kukauka? Sasa ilishindikana nini kutafuta suluhisho la kudumu muda wote huo? Kila siku dharura? Huo mkataba mnaushabikia mnajua una nini? Jamani hii nchi inachosha! Ila cha moto tutakiona!
  10. A

    Makombora yatua nyumbani kwa Pinda - Askari Wafuta Picha

    Nilivyosikia maelezo kutoka jeshini, ni kwamba baada ya askari kuona gala namba 5 linaungua wakataarifiana wakatako nje ya kambi. Baada ya kumalizika tukio kuingia ndani ndo wakagungua magala mengine yote 23 yaliungua nayo. My Take: Hawa sio watu wa kulinda nchi yetu hata siku moja. Instead ya...
  11. A

    Spika: Milipuko ya mabomu Gongo la Mboto sio jambo la dharura!

    Hivi kwanini Dar es Salaam imezungukwa na kambi nyingi kiasi hiki na huku ina wakazi wengi sana ambao wengi wao wanaishi na hizi kambi? Ukisema uwahamishe wakazi kutoka karibu na kambi naona Dar itakuwa military city. For real do we really need all these bases? Mi naona zenyewe ndo ziondoke.
  12. A

    With President Kikwete we are not safe!

    Wanasema Tanzania tuna amani, tusiandamane, tusiwashinikize tusije tukapoteza amani yetu. Haya sasa! Mie nimeshachoka!
  13. A

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Waafrika mnashangaza sana. Hizo dini zenyewe mnazo gombania mmeletewa na wageni. Leo hii ndo mnataka zitutenganishe. Huku tunakoenda siko. Kuna watu wanatoa maneno yanasikitisha sana. Tumieni busara!
  14. A

    President Kikwete stop this madness please or resign!

    I am surprised that you guys are surprised with his behavior. Kipindi cha kwanza kuna muda tuliwekwa kwenye auto pilot for a long time, sasa kipindi hiki cha lala salama i was sure this guy will be worse than before. Mliambiwa msichague maafa. Sijui kwanini watu mnalalamika honestly, ni...
  15. A

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Pumba kweli hizi. Wanajishuku sasa. Mwanasheria mkuu my foot.
  16. A

    If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!

    Mhhhh! I am simply out of words! Hivi Ni Chadema walio imply kuna udhalimu au watanzania wenyewe walijionea? Kazi kweli kweli kwenye hili jukwaa la siasa! Nachoka sana na hizi siasa za Bongo especially humu ndani! God bless us all with Knowledge!
  17. A

    Mnyika hakika wewe ni Mtanzania Mzalendo na Kiongozi wa Kuigwa

    Kila kitu kina nafasi yake! Mi naona Mnyika hapa anataka kupalilia culture ya kujitolea! Kama Watanzania tungekuwa tunachangia kwenye maendeleo badala ya HARUSI aisee tungekuwa mbali!
  18. A

    Wahisani:Bajeti tuliyopewa ni tofauti na ile iliyosomwa Bungeni

    Kuna wakati naishiwaga na maneno na nchi hii! mweeeeeeeee.
  19. A

    DOWANS yaibwaga TANESCO; TZ kulipa gharama na adhabu Bil. 185!

    Kwenye contracts, two parties decide what happens in case of disputes. Now the use of ICC indicate that TANESCO and DOWANS agreed to use it. And by the way sometimes arbitration decisions maybe final and binding, it all depends on what they agreed in their contract. Sasa kama hiyo contract...
Back
Top Bottom