Umeongea vitu vya point sana ila hujui umesaidia umma wa watanzania kufahamu kilichokuwa kinafanyika kumbe sio kupambana na madawa ya kulevya ila lengo lilikuwa kuchafua majina ya watu.
Yani umeonyesha wazi kuwa ni mpango ulipangwa kabisa kuwa mbowe atajwe ili mmchafua.na mkiamini kabisa...
Ama kweli humu kuna watu wana akili mgando.
Yule ni mwekezaji ,kabla hajawekeza Tanzania kuna mikataba au makubaliano aliyosainiana na serkali ndo akaamua kuwekeza.
Sasa kama serkali haizingatia makubaliano waliyokubaliana toka mwanzo kwa nini Dangote asilalamike.
Kosa tusimtwishe...
Kweli ACT mmefilisika mawazo mnatafuta kiki.chama kimewashinda mpaka akina machali wanawakimbia .badala ya kujenga chama mnaleta unafiki.
Ukiangalia mkutano wa makonda toka mwanzo wananchi wanatoa kero kila kero imesababishwa na watumishi wa serkali tena kwa makusudi.watumishi hao...
Wafugaji hawana adabu kabisa .wanaingiza Mifugo kwenye mazao ya wakulima kimakusudi.
Mfugaji hakuna kitu anachokithamini kama Mifugo.yuko radhi mtoto wake afe kwa kukosa matibabu lakini Ng'ombe akiugua atamgharamia matibabu.
Hivyo basi tiba ya tatizo hili ni kutaifisha au kuiuza...
Mimi sijaharibu ila wewe ndo hujui .kama unajua je Asali ina expire au hai expire.
Kwa kukusaidia Asali huwa hai expire .ukiona Asali imechacha au kutoa harufu mbaya hiyo imechakachuliwa au imechemshwa.
Wachimbuzi wa kihistoria kule misri walikuta Asali ndani ya mapiramidi walimokuwa wakizikwa...
Waungwana Mimi ni mfuga Nyuki nipo Dodoma. Nimepata dharula ,sina namna nimeamua kuuza Asali ya nyuki wakubwa kwa bei ya hasara ili nikidhi hitaji lililonisibu.
Asali huwa nauza ndoo ya Lita 20 kwa sh laki mbili.kwa vile Nina shida nimepunguza bei mpaka sh laki moja na nusu kwa ndoo moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.