RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko ya kuwabadilisha wizara baadhi ya Mawaziri.
Katika mabadiliko hayo, Dk. Shein amemteua Ramadhan Abdalla Shaaban kuwa Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, kuchukua nafasi Ali Juma...
Natamani Kipindi hiki kiwe cha Wazanzibar, Kwani hii Office si ya Muungano ama Vipi? , Nahisi Rais analifikiria hilo pia. Kwanini kila siku ni hao hao tu akina Dau, Blandina kwani wengine hakuna , Hata Wazenj wenye sifa wapo na wanaweza kukamata hii nafasi vile vile.
Daaaaaa
Hiii safi sana kuna wazee wengi sana wazamani waliozani kuwa Uwaziri ni mali yao wamekwenda na maji. sijui wako hali gani sasa
Yuwapi yule Seif Khatib wa Zanzibar
Kwa wale waliosoma TANZANIA hasa hii mitaala ya hapo juu naomba munifahamishe hii division one ya point 4 inapatikanaje? Mimi mwenzenu niko mbali sana na hali hiyo.
Turudini kwenye MADA.
Muulizaji kauliza kama kuna MBUNGE ama MUWAKILISHI MKIRISTO ZANZIBAR.
JIBU NDIO wapo tena wengi .
Kwa mfano ni Mh. Sylvester Mabumba yeye ni MBUNGE wa DOLE, yule ambae hata kirefu cha SADC kilimshinda kule bungeni: Soma hapa kwa uhakika. Bunge picks 3 for SADC...
Salma Said, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein ameteua Baraza la Mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa lenye mawaziri 25 kutoka vyama viwili vikuu visiwani humo.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Zanzibar jana ilieleza kuwa uteuzi wa mawaziri...
Sidhani kama umepitia KATIBA ama KANUNI za BUNGE kwa umakini na kwa uelewa , nahisi ulikuwa na utashi ama mawazo fulani yaliokuwa yanakusukuma wakati unapitia kama ulivyosema. HILO HALIHITAJI MWENGE maana lipo wazi sanaaaaa.
Tutegemea kufanyika kwa uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo la KITOPE muda sio mrefu,
NAHISI ni lazima Mhe. itampasa ajiuzulu ili kumpa mtu mwengine nafasi ya kuwa MBUNGE. si tegemei kama anaweza kula kiapo huko bungeni. Logically yeye hawezi kuwa MBUNGE tena kwa nafasi aliyonayo na kazi alizonazo...
patamu hapo!!!
Hivi ukiwa na elimu kubwa ya DINI ya KIKIRISTO ndio unaambiwa una PHD, ina maana Dr Slaa ni sawa na Sheikh KUNDECHA, maana wote wanaeleimu sawa za dini , ila labda kwa vile ukiwa na elimu ya dini ya kikirsto unaitwa DR na ukiwa na elimu kubwa ya dini ya kiislamu utaitwa sheigh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.