Heshima mbele wakuu.
Nadhani Serikali imesahau kuhusu usalama wa barabarani. Hatuna cameras za kumoniter vyombo vya usafiri. Its a good angle kupata mapato wakati huohuo ukiwandindisha wananchi kufuata sheria.
Kwahiyo kwenye hicho kimiminika kuna nini? Watanzania tuna shida kweli.Dunia inapambana kuutokomeza huu ugonjwa wa corona sisi wabongo tuko busy kudanganyana.eti hatuamini mpaka tuwe na uhakika nayo.haha.chanjo zingine mlizowahi kupigwa mlikuwa na uhakika nazo?mbona bado mnazaliana tu tena kwa...
Njia sahihi na salama zaidi kwa vijana wa wuhan za kuepuka maambukizi ni kukaa ndani.Huu ugonjwa wa corona sio airborne( hauambukizwi kwa njia ya hewa). Unaambukizwa kwa njia ya matemate yanayotoka mdomoni kwa mwathirika.Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wakapata maambukizi hata wakiwa njiani kwenda...
Ni suala la muda tu.Magufuli anawalia timing tu kwasababu bado anawahitaji kwenye uchaguzi unaokuja.baada ya uchaguzi atawafumua wote.ile wizara inahitaji mtu mwenye akili za kuiongoza ili ilete matokea yanayotakiwa.lakini the system is corrupt na wanaopaswa kuteuliwa ni walewale ambao wamekuwa...
Jux anafanya shootings kwa ajili ya ku advertise vivutio vya utalii Tanzania.Ni project hiyo na wanalipwa wote hao.Demu ni mthailand na amemaliza chuo cha medical guangzhou.Wamependezesha mbuga zetu kwa kweli
Kiranja Mkuu akawa wa kwanza kuujulisha umma wa watanzania kuhusu msiba,na kujihusisha full..Mwenzake akapewa special recognition(lol).haya bana..Walijua ndio wakati muafaka wa kuuza sura Nchi nzima kwa wakati mmoja.Attention na sifa wamezipata.Hongera zao.Ama kweli kufa kufaana..
Stay blessed
Hawaendi kukwapua madini kwani walishakwapua zamani sana tu.Wanaenda kulinda Investments zao na kuhakikisha kibaraka wao anachukua Uraisi.Makampuni yao yanamiliki migodi mingi sana ya Cobalt na madini mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.