Kwa jinsi uvyoeleza na nikitathmini nguvu, mali, moyo na akili ulivyotumia kumpambania huyo mwanafunzi kuanzia uhamisho hadi kutokurudia darasa ni dhahiri kuwa ulikuwa una mfaidi mama yake (mke wa rafiki yako). Na kwakuwa mkuu wa shule nae alikuwa anataka amfaidi huyo mama ila wewe ukaweka...
Home: Simba 2-1 Al Ahly
Away: Simba 0-1 Al Ahly
NB: Endapo akidaka Youb au Ally Salim
***************************
Home: Yanga 0-2 Mamelod
Away:. Yanga 1-3 Mamelod
NB: Bila Aucho
***************************
Naweka mkeka wa 50k kila mechi mapema sana
Kama tayari una salary slip 3 zama NMB, NBC au CRDB ukakope mkopo ambao makato yake hayaendi zaidi ya miaka mitatu.
NB: Pata gharama halisi za kununua hiyo gari toka Japan na ushuru wake na bima na takataka ndogondogo ili ujue unahitaji mkopo wa shilingi ngapi. Usinunue gari iliyotumika bongo...
Umeme ni cheap kuliko nishati zote. Cha muhimu utumie kufaa kilichoboreshwa mfano presha kuka (pressure cooker), rice cooker na jagi za chuma. Maharage ukichemsha kwenye jagi au pressure cooker unatumia dakika chache sana ambapo hata unit moja haiwezi kuisha na Unit=TSh357/=. Katika vitu vigumu...
West life
Madonna..Goodbye
Dolly Paton
Judy Boutcha.. Can't be with you
Ashanty
J. Lo
Left Eye
Enrique Iglesias...Roamer
50 Cent.. In da club
Buster rhymes
Lil Kim
Aaliyah
Snop Doggy
Fat Joe
Eve...mpaka leo kwangu huyu ndio best female rapper
Lil Bow wow
Mariah Carey
Kelly Rowland.* Huyu atakuwa...
Safi sana mleta mada. Ngoja tujaribu. Ila IELTS, TOEFL na GRE ni kikwazo kikubwa sana kwenye kuomba scholarship za nje maana ad ya kuganya hizo test siyo pesa ndogo.
1.Nilikuwa sijui kuwa mtu anaweza kula sukari kwa kuilamba hadi asubuhi, hadi siku nilipojikuta kitu pekee kilichopo geto ni sukari tuu. Hakuna gesi wala majani, hiyo ni saa tano usiku.
2.Nilikuwa sijui kama jagi la umeme linawezakupikia wali na mtu ukala fresh tuu. Nina mchele tuu ndani, sina...
Pamoja na hiyo sera lakini bado 99.9% ya magari yanayoagizwa yanalipiwa hiyo kodi ya uchakavu.
Halafu ebu nitajie lilipo jalala la mikweche kwa hapa Tanzania nikakusanye nipeleke kwenye kiwanda cha chuma chakavu. Kwasababu usichoelewa ni kwamba hiyo kodi ni ya kijima(enzi ambazo hapakuwepo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.