mkuu usitishike na hayo maneno, hayo maneno ndo yanazidi kuimarisha chama chetu cdm, watu wengi wakisikia cdm kinavurugu huwa wafatilia hizo vurugu ziko wapi mwisho wa siku wanakuja kugundua hakuna kitu kama hicho sasa hapo ndo ccm wanazalilika wanaonekana niwaongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.