Search results

  1. Sooth

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hiyo Siri haina mipaka? Kuna mtu kaweka nyaraka za serikali hapa? Mbona hiyo siri haikusemwa wakat halmashauri ilipotoa press release ya kumtaka kiongozi wa CWT arudi kituo chake cha kazi? Hakuna Siri kwenye kushindwa kulipa mishahara.
  2. Sooth

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Hiki ni kisingizio tu. Mfumo ungekuwa na shida, wafanyakaz wote wasingelipwa. Kwann kalipa wanajeshi kama shida ni mfumo? Wanajeshi wanapokelea dirishan mishahara?
  3. Sooth

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Kwann unapenda mateso unayopitia wewe kila mtu apitie? Mtaan tunaishi pamoja, akikwama mlinzi wa sekta binafsi, mwalimu anamuinua. Akikwama mwalimu, mlinzi anamuinua. Sasa kwanini watu weusi hatupendani?
  4. Sooth

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Maisha yetu yameungana, hauko salama kwa sababu tu sio mtumishi wa umma. Kama uko private sector au unafanya biashara, suala hili linakugusa. Haya mambo hutokea pale ambapo serikali imeelemewa na madeni ya nje. Hii ni kwamba hata uwezo wa ku-import wa nchi utashuka. Utamuuzia nan?
  5. Sooth

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Lazima wajeda awawahishie maana Yuko nje ya nchi, wanaweza kumuwahi kabla hajarudi. Ila kulipa mishahara ni kitu basic sana ambacho kila serikali inapaswa kufanya, la sivyo hakuna sababu ya kuwa na serikali hiyo madarakani. Watawala wanalijua hili, ndo maana hawathubutu kuwacheleweshea wanajeshi.
  6. Sooth

    DOKEZO Prof. Esther William Dungumaro na Ubadhirifu wa Fedha MUCE

    Profesa Esther William Dungumaro ni Mkuu (Principal) wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Mkwawa (MUCE). Kwa namna anavyoendesha chuo hiki cha umma, inaleta mashaka juu ya uadilifu wa uongozi wake katika masuala ya fedha. Taasisi za umma zinaendeshwa kwa mpango kazi wa kila mwaka na bajeti ya kila kazi...
  7. Sooth

    Mshahara wa mwezi wa 10 umetoka?

    Chifu Hangaya Mwakatozo amesahau kama ana wafanyakaz na wanastahili kulipwa ujira wao.
  8. Sooth

    RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

    Kwan hii biashara ina shida gani? Hii ndo biashara kongwe kupita zote duniani, kwann unataka kupiga marufuku? Kwann unafanya kazi iliyowashinda viongozi wengi wa dunia? Watu siku hizi wanauza bidhaa mtandaoni, unawazuia vp? Dar es Salaam ni mji wa kibiashara, tiunahitaji RC mwenye akili ya...
  9. Sooth

    Kiwanja cha bata chenye Totoz Classic kinachojaza Dodoma

    Anzia Bambalaga, hapa ndo habari ya mjini. Then kuna Liquid na Royal Village
  10. Sooth

    Uzalo Special Thread

    Top rated soapie of all time pale SA ni Generations: The legacy. Uzalo ndo tamthilia ya kwanza kuing'oa kileleni Generations. Kuna wakat huwa inapoa na tena kupanda kileleni. Ni tamthilia Kali kuliko isidingo. Isidingo ratings zilishuka sana ndo maana ikatamatishwa. Mim nafuatilia Uzalo online...
  11. Sooth

    Harakati za Maaskofu kujisafisha na kujitenga na 'mabaya ya Magufuli' hazitawasaidia. Waombe radhi na wao

    KWa sisi ambao tulikuwa tunaifuatilia JF wakat wa JK, haya yanayosemwa yan ukweli kiasi. Nitafafanua kama ifuatavyo: 1. Ni kweli kwamba anapochaguliwa rais wa dini/kabila/kanda fulani basi watu wanaoendana na dini/kabila/kanda hiyo hunufaika na mfumo. Mfano, wakat wa JPM, Kanisa Katoliki (na...
  12. Sooth

    Rais Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki, barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana

    Watumishi wa umma wana haki zao, tofauti na mahausigeli mnaowatesa huko majumbani. Mnawatumikisha kingono na mishahara hamuwalipi kwa wakat et mnawatunzia.
  13. Sooth

    Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

    Kuna watu watamlaumu huyu mtu wa Mungu, mimi nailaumu SYSTEM! Huyu Mkuu hajawahi kubadilika wala kuficha 'recklessness' yake ktk maamuzi na matamshi. Dear System, how the fvck did you see him fit for the highest, most powerful office in the land? So you were not keeping tabs on him when he was...
  14. Sooth

    Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

    Pima na Gambo wamesoma pamoja IAA, wanajuana kwa vilemba.
  15. Sooth

    INAUZWA Vibubu vya kielektroniki

    Pia ni vyema kukawa na time restrictions. Yaan hata mtu akiwa na password asiweze kufungua kabla ya muda fulani aliojipangia. So inakuwa kama timer, haifunguki mpaka muda huo upite.
  16. Sooth

    Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

    Wakat mwingine mtu unakata tamaa ya kuchangia mijadala hapa jukwaan sababu akili fupi za hapa jukwaani zinaona mambo kwa ushabiki wa vyama au unazi wa kidini na ukanda/ukabila
  17. Sooth

    Rais Magufuli amtuma RC wa Mbeya kusitisha uvunjaji wa Hotel Desderia inayomilikiwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kisingizio cha mazingira

    Baadhi ya majengo ya hotel ya Desderia yamejengwa ndani ya mita 60 kutoka mtoni. Sheria za mazingira zinakataza ujenzi ndan ya mita hizo. Wataalam wetu watoa vibali ni wala rushwa wazoefu na watu wa kutumwa na waheshimiwa. Walitoa vibali kimakosa. Msijeshangaa akija rais mwingine ikabomolewa...
  18. Sooth

    Hii interview ya Rightway Primary school inatesa watoto

    Elimu ya kifala sana hii, wazazi wanajali sana ufaulu wa mtoto kuliko maarifa anayopata. Mzazi haulizii shule ina facilities gani (computer, viwanja vya michezo, usalama wa watoto, lishe, nk), wao wanauliza tu inafaulisha? Shule ilikuwa ya ngapi kwenye mtihani wa NECTA? Upuuzi mtupu.
  19. Sooth

    The number of registered engineers in Kenya is five times more than the number of registered engineers in Tanzania

    ...and yet the Chinese are still building your roads and rails, right?
Back
Top Bottom