huyo dogo sidhani kama anajua chochote kuhusu uwajibikaji!that why yupo teyar kuoa GOLIKIPA tena amwache nyumban anahudumiwa na wazazi!naona anajiandaa kuletea wajukuu ndan ya nyumba ya wazazi wake.
umenena mkuu,huyu mtoto kwa mtazamo wangu,bado hajajitambua!(samahani lakini)angekua amepata...
well said mkuu!ikipita siku sijachungulia jf?ntaumwa!ukwel humu kuna mambo mengi ya kujifunza!ila la muhimu ni tujenge tabia ya kurudisha feedback ili kuwapa moyo wale walioanza kushare na sisi!
Inaonekana kwamba kati ya
majanga ya kidiplomasia
yaliyoikumba Marekani katika
miongo ya hivi karibuni,
hayajalizidi janga la hivi sasa
ambalo limeikumba nchi hiyo
baada ya kijana mmoja wa miaka
30 anayejulikana kwa jina la
Edward Snowden kufichua
ujasusi mkubwa unaofanywa na
Marekani...
Inaonekana kwamba kati ya
majanga ya kidiplomasia
yaliyoikumba Marekani katika
miongo ya hivi karibuni,
hayajalizidi janga la hivi sasa
ambalo limeikumba nchi hiyo
baada ya kijana mmoja wa miaka
30 anayejulikana kwa jina la
Edward Snowden kufichua
ujasusi mkubwa unaofanywa na
Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.