ugumu unaletwa na mtawala tu maana jamaa anatamani yeye ndio awe kila kitu ya mahakama, bunge, polisi, mkuu wa mkoa, mwanajeshi, mwajiri , mfanyakazi wa umma, nazani anatamani hata Tanzania kungekuwa na yeye peke yake tu , jamaaa ana roho ya ubinafsi sana sijawai kuona
GSM , Kinjekitile na Ridhiwani ni watu ambao inadaiwa wanauza unga kwanini hawakufatwa kuhojiwa? hapo tayari upendeleo pia muuza ARV fake anawezaje kushiriki mambo ya kitaifa wakati matendo yake yanakijambazi na kiuaji? Manji kashtakiwa kwa kuwa na wafanyakazi wasio na kubali nchini kwanini pia...
tatizo la tofali la kuchoma ikiaribika kwenye ukuta lazima uondoe ukuta wote japo ni nzuri kwenye moto kuliko tofali za cement, pia ubora wa tofali izi mbili inategemea na hali ya hewa sehemu husika, aina ya udongo au mchanga uliotumia, uchomaji au mixing ratio, tofali ya cement ikiwekwa ratio...
eti sio utamaduni kuonesha nguo za ndani wakati waafrica walikua hawavai hata nguo bila mzungu hata izo chupi tusingekuwa nazo, utamaduni wa mwafrika ilikuwa kuvaa magogo na ngozi kuziba sehemu za chini sehemu zingine zote zinakua wazi
hii nchi tunanda kwa matukio na ununda au utemi utawala hautumii akili kuongoza wala katiba na sheria bali wapo kusubili ku deal na wapinzani na matukio kwa mfano kwa sasa la dawa limeisha watatengeneza jingine nalo litaisha then jingine ndio style yetu hii
duh sasa mbona saudi arabia haitaki kusaidia waislamu wenzake watu wa siria kuwapa makazi ya muda , kweli na historia yote hiyo inashindwa kutoa msaada mpaka inafikia waislamu wanaenda kupewa hifadhi na nchi za wagalatia kama ujerumani duh kweli sometime dini izi noma sana , muislam yupo lazi...
ki ukweli ugomvi ndani ya nyumba unaweza kukufanya ujinyonge lakini hawa wanaojinyonga ni wale wasio na alternative a.k.a mchepuko yani wale wasio na matawi mke mmoja kama mama yako au wasio na kifua cha kuvumilia
ukipata tatizo nje ya nchi jua upo peke yako serikali yetu haina uchungu na wanachi wake kama watu wamekula pesa za maafa ndani ya nchi wakusaidie wewe nje ya nchi hapana ilo hawawezi
serikali lazima walete mtimanyongo pia nazani kamanda angepewa uenyenyekiti wa chadema tu mbowe anapwaya uku uraisi wa TLS angeachia non-politician pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.