Najisikia Faraja sana vile tumefika mbali. Namuombea Dr. Slaa Mungu ampe nguvu zaidi katika siasa. Ametufungua sana macho na Mioyo yetu. MUNGU AKULINDE WAKATI WOTE. YOU'RE THE HERO!
Hawataweza kutuibia Malaika wakuu kutoka mbingu wanatusimamia katika hili. Amen!
Hello the one who is looking to listen the Radio Maria on line. It is easy you may search by using this web: www.radiomaria.co.tz or you may search on Radiomaria it will come but connected to other website then click on listen live. Then there you are!!!
Mwanamke anaweza tu kukaa kwa mda wa siku nyingi hivyo kama mwanaume atakuwa anapa company sana hasa kwa sms,simu za kila wakati na mail kwa sana. Hapo ahh atasubiri sana na bila wasi wasi kabisa. Na kama mwanamke akimaanisha kupenda sio siri wala hatahangika na wanaume wengina.
Inakuwa shida...
Mh jamani All who have dropped their point are all heavy.
You really have points U gays.
If you devote to something make sure You follow the right principles and make sure You achieve the goals ahead You. Do business jointly while your eyes are widely open otherwise You die kifo cha mende.
There...
huu.. Na mara nyingi sana wanawake huwa wanapenda sana haya mambo. Na mara nyingi ukiona mwanamke kaweka siri kuwa Mumewe yuko vipi ujue kuwa kweli anampenda kwa dhati na hataki Mwanamke mwingine ajue vile yu mtamu.
Nilishawahi kupata story Moja kuwa kulikuwa na Jamaa mmoja alikuwa na Jogoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.