B
Be open minded, siyo kwamba sina shughuli ya kufanya, i'm a consultant shughuli ambayo ni highly taxed lakini pia hela yake inaingia kwa msimu. Nataka kufanya shughuli tofauti ambayo inaweza kuwa na regular income
Wakuu kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu nimejifanyia analysis kujua kwa nini nina income kidogo ukilinganisha na mahitaji ya kila mwaka.
Katika kujifanyia fair anaysis nikapata vikwazo saba, one of them is that I'm not engaged in high income generating activities leave alone lacking regular...
Hiyo hela ni ndogo sana kwa fixed deposit. Sijui una umri gani, kama ni kijana kuweka fixed deposit ni uvivu wa kufikiri. Changamsha akili fanya biashara huo ni mtaji tosha.
Ingia kwenye alibaba.com utakutana na suppliers kibao. Cha msingi asikwambie mchati nje ya alibaba platform kama whatsap. Uzuri wa alibaba anakuwekea insurance na anachaji about 3% ya transaction
Uvuvi hasa katika ziwa Victoria ni kichefuchefu kwa kuwa ziwa kwanza halitabiriki. Wavuvi wanaweza kwenda limetulia wakifika huko upepo unageuka unapuliza mbaya inabidi warudi, wakati huo ushaweka mafuta kwenye engine na chakula cha wavuvi. Kingine ambacho watu hawakijui ni kwamba ndani ya ziwa...
Nakushukuru sana japo nina uzoefu kidogo na shughuli ya uvuvi, nina mitumbwi na engine za boti 4 kwenye ziwa Victoria lkn naona ni kama kichefuchefu. Lakini kwa kuwa umeleta wazo la kukodisha si kuvua ngoja nilitafakari. Shukrani sana.
Wabongo wengi mnaogopa mkopo lakini historia haioneshi kwamba unaweza kutoka kwa kudunduliza mshahara, unachotakiwa kukijua ni kwamba mkopo huwa ni wa kuendeleza biashara siyo wa kuanzisha biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.