Tatizo kubwa kwa watanzania w leo hasa wa kikristo ni kutumia bibilia kwA chuki zao binafsi lakini uwe makini kama umetumwa na watu usiingize neno la mungu kwenye ujinga wako
Amenikumbusha rafiki yangu mmoja ambae aliniambia kuwa makini sana na wanawake kwani hata ukijitoa kwake hatashukuru hata cku moja pole dadaangu ila fahamu mungu hapendi watu wa aina yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.