Enyi wana wa adamu hakika nafsi zenu zimenajisiwa. Aibu zenu zimekuwa adimu kama jasho la kuku. Roho zenu zimekuwa yabisi kama magamba ya mamba. Sura zenu zimekakaa kama vibwebwenzo. Mnajisifia hadharani kwa sifa najisi. Mnatembea na wame na wake za watu bila soni. Amini amini kati yenu nyie...
Senzo aliugua cerebral malaria na kupoteza sauti kwa miaka miwili watu wakazusha amekufa. Yupo hai and expect his new album very soon brothers and sisters.
Muogope Mungu zaidi ya Ukoma mleta maada " CHADEMA WAMEFANYA UNYAMA HUO DHIDI YA MWANDISHI WETU, LAKINI CHAMA CHA MAPINDUZI HAKIJAWAHI KUFANYA HIVYO " Mnamkumbuka David Mwangosi??????????????????????????????????????????????????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.