Umenifurahisha "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu ambaye kwa sasa ni Mwanamume wa Shoka, Shujaa wa Mapambano ya Ufisadi, Mtetezi wa Wanyonge na Jemedari Dr. John Pombe Joseph Magufuli"
Mkuu nakukumbusha: Zamani kanisa Katoliki lilikuwa linapata misaada kutoka nje kupitia Wamissionari wa Mashirika palipali (mfano White Fathers). Hivyo makanisa mengi yalijengwa na Wamissionari hawa kwa kutumia fedha zao.
Siku hizi Wamissionari wa nje wamepungua sana, pia misaada imepungua kwa...
Soma vizuri hiyo barua unayosema Wizara ilikuwa inafahamu kuwa bei ya umeme imepanda. Hiyo barua ni ya kuwasilisha mapendekezo ya kupandisha bei, na siyo ya kuwasilisha bei iliyopendekezwa na EWURA kwa Wizara. Tena hata hiyo barua Wizara imepewa nakala kwa taarifa tu.
Hoja hapa ni:-
1. Mara...
Mkuu uko sahihi. Kuanzia Shule ya Msingi, Sekondari, mpaka Chuo Kikuu, Wengi wa Waalimu waliopo ni porojo tu. Hawafundishi inavyotakiwa. Bila juhudi ya mwanafunzi, hawezi kufaulu. Suala la Waalimu liangaliwe zaidi na sio makelele tu
Je ni nzuri kudanganya, wakati huyo alikuwa mwenzao wanamfahamu?. Familia kudanganya imekosea na ndio utakuwa mwanzo wa kugombea mali za marehemu, kwa kigezo kuwa hawatambuliki. Ni Bora amemwaga ugali kabisa baada ya wanafamilia kumwaga mboga. Tusubiri kasheshe ya Wajaruo, walivyowabaguzi, Time...
Wewe unaishi wapi?. Hujaonana tatizo kubwa lililopo Salender Bridge kwa sasa?. Je, baada ya miaka kumi ijayo hali itakuwaje pale Salender Bridge?.
Mpango wa kujenga "alternative route' pale ni wa kuungwa mkono. Pia sehemu ulizotaja nazo zinahitaji kuboreshwa. Kwa vile sasa wanaanza na...
Rais amesema ukweli. Kagera ina watu wengi sana na ina wasomi wa kutosha. Ukitathmini kwa undani unaweza ukawatenga waathirika katika makundi yafuatayo:
1) Kundi la Familia ya Watu Maskini kabisa, kama wazee wanaoishi peke yao au na watoto wadogo baada ya wazazi wao kuwaterekeza au kutangulia...
Uko sahihi kabisa. Wafanyakazi karibu wote wa ATCL hawatakiwi kukabidhiwa ndege zinazonunuliwa, hawatakuwa na ushirikiano mzuri ili kuendesha shirika hili. Mfano ni upendeleo wa kupata marubani ulivyofanyika. Mhe. Rais anzishe shirika jipya, achana na hili bovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.