sawa huu ni mtazamo ulioupata baada ya kudadisi mtiliriko wa mada mbalimbali.
Pendekezo lako kama suruhisho ni nini?
Mchango wako wa mawazo kwa ulichokiona ni upi?
Matarajio yako toka kwa wachangiaji ni yapi?
Kiufupi Mada yako na nyingi zinazoletwa humu hazina wigo wa kumuongoza kwa hiyo...
Biashara ya mboga toka huko kwa jumla soko lipo karibu na round about ya kigogo. Biashara huanza saa ~9 usiku - 12asubuhi. Ukipita mida hiyo utawakuta madalali. Ila biashara hii bei inabadilika kila baada ya muda mfupi.
Swali la msingi linahitaji jibu, upana wa recruitment ujulikane, kama hamtojali jibu litapendeza zaidi.
wazo zuri la biashara ndogo lina sifa nyingi ikiwamo kudurufika hata kama kwa namna yeyote watu fulani hawataweza kujiunga nanyi kwa sababu zozote wanaweza kulitumia katika kundi dogo la...
Enzi zetu za barua!, ishu inapodondoka mtaani kabla haijafika kwa mhusika.
Siku hizi naambiwa mnatumia whatsapp, mxit, sms, PM, etc kumfikishia mrembo ujumbe kama huu!
Ila ujumbe umemfikia.
Kama ya kujilinda, ukifanikiwa kutengeneza yenye recoil ndogo kupita Colt, mteja nipo.
Silaha nyingi zinanunuliwa kutoka makampuni binafsi zilizobuniwa na watu binafsi huko nje. Ukifuata taratibu unaweza fungua kiwanda, soko la Afrika pekee ni kubwa mno.
utamu unaulaje ipasavyo wakati kilacho kimepunguzwa uwezo wa kufurahia kula.
Kufika mwisho ndo lengo lenyewe, ukiwahi jitahidi kufika mara nyingi kadri iwezekanavyo.
Mkuu tupo pamoja, chukulia kama changamoto ya kibiashara tu unapouza bidhaa, hapa unauza bidhaa "wazo lako" jinsi unavyolitetea na kulisimamia ndio tunaona ukomavu wa wazo hilo, kunyumbulika sio kitu kibaya, wazo zuri linatakiwa kunyumbulika kulingana na mazingira. Ukiwa miji mikubwa ni ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.