Habari ndugu.
Mimi ni layman kabisa kwenye mambo haya lakini nahitaji unishauri kwa budget ya less than 100k. Kwa uzoefu wako unarecommend nichukue mziki gani.
Note. Sio mpenz wa mziki mkubwa durability izingatiwe
Natanguliza shukrani
Anaandika
BABA YAKE MOSES MACHALI
mwanangu hekima ni kitu cha muhimu. Ni bora kufunga kinywa chako ukahisiwa kuwa unayo busara kuliko kuuthibitishia umati kuwa busara haipo kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.