Ni vema abaki tu kwenye ndogo yake na asikimbilie kuchepuka, kwa kuwa muda umepita avumilie mpaka mwakani halafu aombe upya MD wakati huo huo aombe na diploma ya clinical medicine ili asipochaguliwa tena MD aianzie diploma
unaweza kufanya kazi zozote za kiutalamu katika maabara zote in exception of medical laboratories; maabara ambazo mtaalamu huyo anaweza kufanya kazi ni kama za viwanda(vya maji, madawa, vyakula, rangi, nguo, n.k) , shuleni, vyuoni, research laboratories, taasisi za serikali kama TBS, TFDA...
Tayari nimeshachimba mkuu, nitakutafuta nitakapohitaji kuchimba kingine; vipi kuna uwezekano wa kuongeza urefu kisima kirefu kilichopungua/kukauka maji? urefu wa sasa ni mita 100 na 4.5 inch PVC casing, nilihitaji ziongezeke kama mita 30
Niwaulizeni jamani eti kati ya hizi Masters programs mbili ni ipi inafaa kwa mtu anayelenga kupata uweledi utakaomsaidia kuongeza wigo mpana mpata wa kupata fursa mbali mbali kujikwamua kwenye umasikini (Kuajiriwa?kujiajiri)?
kama bado hujafanikiwa useme nifuatilie mawasiliano nikutumie, hata mimi nilikutana na changamoto hiyo kwa kisima nilichochimba cha mita 100. Nilikutana na options mbili; ya kwanza ilikuwa ni kuchomoa hizo PVC pipes ili kuanza upya kazi lkn ya pili ilikuwa ni kwamba PDPR Njombe alisema anaweza...
Visima vya maji ya kunywa vya malingi huwa mnachimba?
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni...
Visima vya maji ya kunywa vya malingi huwa mnachimba?
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni...
Visima vya maji ya kunywa vya malingi huwa mnachimba?
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni...
Visima vya maji ya kunywa vya malingi huwa mnachimba?
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni...
Visima vya maji ya kunywa vya malingi huwa mnachimba?
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni...
Nina shida ya kuchimba kisima kifupi cha MAJI ya kunywa cha malingi chenye urefu wa mita 30 hapa Dsm, ni sehemu laini yenye chemi chemi kwa hiyo sioni sababu ya kufanya survey. Gharama ya ufundi, malingi na (gravels za kusafishia maji kama ni lazima) jumla ni bei gani?
Ktk tangazo jipya la kazi kuna RS1, NA GS1... kwani RS 1 GS 1 ni sawa shillingi ngapi? au ndiyo tuseme mishahara itapunguzwa kwa watakaoajiliwa kwa tangazo hilo jipya?
Jamaani naombeni ushauri:
Nimepata kazi ktk taasisi zote mbili ambapo nitatakiwa kuriporti siku moja sehemu zote mbili na nitapewa mikataba na barua za kazi siku ya kuriporti...
ni wapi pazuri jamani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.