Ulitegemea upingwe na nani?Maana hakuna siku ambayo Ukristo utakubaliana na mambo ya Uislamu.Kusema ni mfumo Kristo Je kuna mahakama ya Kristo ndani ya Katiba ya Sasa?Maana kungangana iingizwe kwenye katiba mahakama ya kadhi ni kusema kuwa Waislamu hawajiwezi mpaka wapewe msaada na Katiba,maana...
Uongo mwingine hata hauna mashiko.Ukitaka kudanganya uwe na details za kutosha.Mambo yakusikia.
KKKT ni weledi na vitu unavyosema sio vya KKKT.Hili ni kanisa lenye utaratibu unaoeleweka na uongozi thabiti na sio kama unavyojinadi,hapa kuna wazee wa kanisa,mchungaji,mwinjilisti na lazima wote...
Ni sawa kabisa ila kwa maelekezo ya ziada wasiliana na MAENDELEO benki kwa namba 0658 500420 niliwasikia wakijinadi hivyo kuwa siku hizi wanatoa huduma hiyo.
Mmmmmmmmmh CHADEMA inatisha imewashika pabaya sasa wanaweweseka na bado,hii ni trela tu movie yenyewe hata haijaaanza mnaanza kuweweseka.Muziki mnene unakuja subirini.
Ukristu wako una mashaka,kwa kuwa hawa ni watanzania wenzako ndio maana huwakubali?Kwa nini hicho unachokiamini unakiamini?Maana hata hapo katika dhehebu ulilopo leo ni afadhali hawa usiowakubali,tafakari vzuri hata kama husali kwao jivunie kuwa nao.
Kwa nini wabuni njia nyingine wakati waombaji wenyewe wanataka fedha?.Kwa kuwa mawazo na akili za mwombaji zipo kwenye fedha kuwapa wazo jipya itakuwa ni kupoteza muda maana hiyo inahitaji waombaji wapewe elimu hiyo.Hata Mungu humpa mtu haja ya moyo wake vinginevyo akikupa tofauti unaona kuwa...
Ushauri wangu ni kuw hao yote yanaezekana kwa kuwa huyo motto yupo hapa Dar na mama mtoto naye yupo hapa hapa.Mpeleke kijjini kwa wazazi wa Mume wako aomeshwe sule huko huko.Mumeo amweleze mzazi mwenzake kusdio hilo na kama akipinga mumeo ni kichwa cha familia atoe maamuzi,au aende ustawi wa...
Nina duka la vyakula na bidhaa nyingine mbalimbali,nahitaji accounting package kwa bei nafuu itakayoniwezesha kutunza kumbukumbu za biashara hii vizuri.Mwenye taarifa au mhusika tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.