Miaka kama 40 iliyopita serikali ilianzisha vijiji vya ujamaa, model iliyoigwa na kubadilishwa kidogo toka china, Russia na Israel..
Wanakijiji walipewa vifaa vya kilimo km trekta na mashine nyinginezo bila kusahau wataalam wa kilimo.
Kulikuwa na mashamba darasa yaliyoitwa mashamba ya Kijiji...
"Keep on, with the force, don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on, with the force, don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on, with the force, don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on, with the force, don't stop
Don't stop 'til you get enough"
Kuna Msambichaka nilikuwa nakuta yupo hatua moja mbele kwa kila andiko nililokuwa naandika kwenye mada za socioeconomics, hivyo naililazimika tu ku citate maandiko yake....., sasa sina uhakika Nini kimekukuta mbona umepiga OP Sana!
Mkuu hongera Sana,
Hii papatupapatu ya masomo kama yangu tu, nilianza kuheshimiwa home baada ya matokeo ya kidato Cha nne, Ila wewe umenizidi kigugumizi Cha kuandika Mimi Nina kigugumizi Cha kuongea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.