Kama vipi kwa mara ya kwanza na join kwa blog hii ya ukweeeeeeeeeeeeli ,ila inshu ambayo mi naimind ni kitendo cha bodi ya mikopo kusema kuwa tunaweza kudownlod then ukizama kwenye mtandao kudownlod inakuwa inshu kama vip bora waweke wazi kama haiwezekani kufanya hivyo through mtandao.DJ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.