SIKU TUKIJADILI WACHINA KUPEWA URAIA WA TANZANIA ,TUTASTAHILI PIA KUJIINGIZA KWENYE AJABU. LINGINE. LA DUNIA,KWANGU MIMI HATA KULIKIRIA HILO NAJISIKIA DHAMBI,ITOSHE TU KUAMINI KWAMBA SII KWELI KWAMBA WANA HHIZO KADI ZA KUPIGIA KURA JAPO KWA TANZANIA NA UHAMIAJI ILE YA MIAKA AMBAYO MUHHINDI...
HONGERA SANA KAKA MAX NA JF-MUNGU AWAPE AFYA NJEMA, ILI MALENGO HAYA MEMA YATIMIE KWA MAJIMBO TISA NA WIGO MTAKAOUTANUA BAADAE.
KWA HAZINA YA BRAIN ZILIZOKO HUMU NAAMINI JF ITAISHANGAZA DUNIA KWA AINA YA MIRADI MTAKAYOIBUKA NAYO KWA JAMII.
KARIBUNI SANA NA KWETU.
Hoja NI Magari anayomiliki au kazi anayofanya,MAANA Leo mikopo kutoka banks ni mingi,mtu anaweza kuwa amejivuta NA mikopo ya kibiashara,Pili huenda mumewe akawa NI sehemu muhimu ya Magari UNAYOYAONA ,kikubwa mhukumu kwenye uadilifu wa huduma anayoitoa Kama Askari mengine haya jiridhishe SANA...
HAKIKA anastahili kupongezwa kwani ameyaishi maneno yake,Akiwa PM alihamasisha SANA Ufugaji wa nyuki,NA SASA KWA YEYE mwenyewe kuuza asali yake NI DHAHIRI Ametenda alichokihubiri KWA MIAKA 8 Akiwa PM
Jambo LOLOTE katika yaliyomengi linapoanza Kama jipya linakuwa NA CHANGAMOTO ZAKE,kikubwa limeanza,naamini katika utekelezaji wa sera hii mwaka wa kwanza huu utatoa CHANGAMOTO zitakazopelekea maboresho,binafsi uthubutu wa kutenga Bilioni 130 KWA mwezi Ili kuwaondolea WAZAZI Ada NA michango ISIYO...
Sii matarajio ya ccm kushinda 100%,wala oposition kushindwa 100%,vyovyote matokeo yatakavyokuwa katika ujumla wake-yanatoa somo pana kwa siasa shindani za mwakani 2015,nayafananisha sawa na matokeo "kioo" kwa kila chama kujiangalia kinaonwaje au kutazamwaje huko site.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.